Noma sana, mimi nimegundua kuingia class na kibomu bwege..Kampuni ya microsoft ambayo inatengeneza mifumo windows imeamua kuboresha mfumo mpya windows 11.
Windows 11 iliachiwa tarehe 24 june 2021.
Mabadiliko haya inaonyesha kuwa imekubali kuendana na kasi ambayo jirani yake google kujikita sana uboreshaji wa watengeneza programu za android.
Sasa windows 11 ni rasmi itakuwa na app ambazo zinatoka mfumo wa Android.
View attachment 1835714
Mabadiliko ya windows tena yanaweza kuleta ushindani mkubwa kwenye soko la teknolojia
View attachment 1835717
Ongera microsoft
But bora watoe toleo jipya kwa sababu ya specifications ya hio phone kwa apps za sasa siju kama zitaendanaTaarifa nzuri zaidi zaidi ni ile ya kua ile flagship yao ya 950xl mnyama wameamua kuipa update ya window 22-11 yaan , hapa unaweza kuamua kusaka mtumba au hata kumvua mtu ufaidi zile mambo za kupin na mengine
Unaweza kuwa na OS zote hizo kwa wakati mmoja haina shidaHata muwe na window 100 hamuwezi kuning'oa mimi ni team linux lialia.
Na ndio kiu yangu yaan window Os ilirud ,tuwe na Ios pia tuwe android kisha hio ya huawei hapo ndio akili itarud na ui ya xiaomi nayo iwe os KABISABut bora watoe toleo jipya kwa sababu ya specifications ya hio phone kwa apps za sasa siju kama zitaendana
wanawake wanachelewesha sana maendeleo hii c baada ya mzee kuachana na mazaKampuni ya microsoft ambayo inatengeneza mifumo windows imeamua kuboresha mfumo mpya windows 11.
Windows 11 iliachiwa tarehe 24 june 2021.
Mabadiliko haya inaonyesha kuwa imekubali kuendana na kasi ambayo jirani yake google kujikita sana uboreshaji wa watengeneza programu za android.
Sasa windows 11 ni rasmi itakuwa na app ambazo zinatoka mfumo wa Android.
View attachment 1835714
Mabadiliko ya windows tena yanaweza kuleta ushindani mkubwa kwenye soko la teknolojia
View attachment 1835717
Ongera microsoft
Ni baada ya Dr Shika kufariki....hahahawanawake wanachelewesha sana maendeleo hii c baada ya mzee kuachana na maza
hakuna android support so far, ila utaweza kusideload apk hili msft amesha confirm.Bado haija julikana kama ni aina zote za apps ambazo zita support.. kama apk zitakuwa zinaweza kuwa sideload.. au lah.. ukweli hata microsoft wenyewe wajaweka hii wazi.. labda Chief-Mkwawa anaweza kutuambia maana ameshajaribu dev preview.
cheaf-mkwawa Sheria Mpya ya Google Kuhusu APK (Android)hakuna android support so far, ila utaweza kusideload apk hili msft amesha confirm.