financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
uko wapi kwanzaHabari ya weekend!
Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).
Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
Nipo Dar es salaam mkuu, karibuuuko wapi kwanza
Nusu mwaka tu mkuu, ni mpya kabisaUmeitumia kwa muda gani...
WapiKaribuni wapendwa
Kitu kikishatumika inabidi uvunje beiKaribuni bado ipo
Muuzie rara rareeHabari ya weekend!
Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya kuzunguka(office chairs).
Karibu inbox kama hela iliyopo imepungua kidogo, naimani hatutashindwana.
Location: Dar es salaam
Kama bei imepungua kidogo yanaongeleka mkuu na nakupa na 2 ofisi chairsKitu kikishatumika inabidi uvunje bei
Why not you mkuu? Wachukulie hata ndugu watashukuru msimu huu wa sikukuuMuuzie rara raree
Nakaa kijijini umeme wenyewe nausikia tu,mwendo visola nyonya damu mwanzo mwisho😁Why not you mkuu? Wachukulie hata ndugu watashukuru msimu huu wa sikukuu
Hee we jamaa mbona umenitaja mimiMuuzie rara raree
Si kwa ubaya ananisaidia marketing, karibu ununue mkuu raraaaHee we jamaa mbona umenitaja mimi
Wewe si wamjini😁Hee we jamaa mbona umenitaja mimi
Nipo zangu ruvuma huku kuna mvua balaa sahvWewe si wamjini😁
Serikali ilitangaza hadi vijiji vimefikiwa na umeme bana, nunua tu in advance umeme watawaletea soon mkuu😀Nakaa kijijini umeme wenyewe nausikia tu,mwendo visola nyonya damu mwanzo mwisho😁