Midabwada

Midabwada

Zombie S2KIZZY

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
826
Reaction score
1,622
Unawashaurije hawa vijana na ni Nini kinakujia akilini ukimuona kijana wa kileo amevaa hivi?
Screenshot_20230513-170310_1.jpg
 
Umarekani mwingi ila ushamba mtupu
..Nguo zina rangirangi kibao mpaka zinaumiza macho wale wazee wa mitumba ndo wanapenda hivyo..
 
Mbaya zaidi na kinachouma zaidi jamii hiyo ya wavulana wanapenda kunywa sana Savannah,,,tungi za kina T.yeye!!!
 
Back
Top Bottom