SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,714
wachina ni washenzi hawajitangazi lakini siku wakiamua kujianika dunia itabaki na taharuki
na ilitunguliwa kwa silaha ya kawaida sana(Anti Aircraft gun),kwa aibu wakazitoa kwenye service na kuzipeleka scrap yard.
INAPENDEZA SANA MACHONI (JAPO KAZI YAKE CHAFU!)
Ninahisi wabunifu wa umbile lake waliigiza umbile la samaki TAA (STING RAY!) kama 'mkwara mbuzi' au 'nahau kwa vitendo!'
Chinese J-31 stealth fighter compare with US F-35.
Jamaa ni level nyingine kabisa. Wamekeza sana kwenye science and technology
Haya Sasa tuekeeni japo silaha 2 za kuji vunia kiusalama Tanzania