Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
aisee mgeni umevunja kanuni namba 2 ya jaamiforum ibara ya 10 katika katiba ambayo Mimi na timu nzima ya JF tumechangia kuiunda nasikitika hawa wenzako hawakukuambia ni wabaya sana hawakutakii mema katiba inasema kama ifuatavyo. {a) kabla ya kuanzisha au baada ya kuanzisha huu Uzi unatakiwa uwe umeshafika kwenye PM yangu mm mwenyekiti. (b)kwenye PM inakubidi unitumie picha zako ukiwa katika mapozi tofauti yenye kuvutia ili tuweze kutunza kumbukumbu zako. (b)lazima kunipa namba yako ya simu ili kama kutatokea tatizo ili nikujulishe. (c)baada ya kuanzisha mada mbalimbali ibabidi unijulishe nikutoe OUT ukaenjoy hii ni bonus au trophy pts tulizoziweka viongozi kukupongeza mwanajamiiforums (d)huruhusiwi kujibu PM zezote za member wa kiume kwa mwezi mzima ili kukuondelea usumbufu inakubidi uwe na mawasiliano na Mimi venginevyo tunakupiga ban. Ni hayo tu karibu JF