mie mpya humu

mie mpya humu

Philip Dominick

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
1,021
Reaction score
189
jamani mie mpya humu ndani nikaribisheni,nifundisheni jinsi yaku co oparate na watu humu,jinsi ya kutumia vema jf na mengneyo mengi
 
Karibu Philip, jichanganye kwenye kuchangia/kukosoa hoja kwa hoja na kama una uthibitisho wa hoja yako ndio mzuka zaidi.
 
Karibu Philip, jichanganye kwenye kuchangia/kukosoa hoja kwa hoja na kama una uthibitisho wa hoja yako ndio mzuka zaidi.

na amini ntashriki vema,tena bila kuwa na hofu yoyote
 
Back
Top Bottom