Mabele Maduhu
Member
- Dec 31, 2013
- 20
- 4
Jamani napenda kujitokeza hadharani tena peupee na kukiri mbele yenu kabisa kuwa,mimi ni mwanafunzi wa Kidato cha Tatu niliyefaulu kwa Mbinde lakn mwaka huu umekuwa wa neema kwangu.Nimeingia F3 kwa alama ya F lakini kichwani hazimo kabisa.JE NITAKAPOFIKA F4 NITAFAULU KWELI?
Ina UHUSIANO GANi na HABARI ZA KISIASA zinazotakiwa kuwekwa kwenye hii NEWS SPOT ambayo ni ya SIASA?
Au ndio kutafuta Umashuhuri HUKO ?