Miez 2 youtube,number1 ya Diamond imetazamwa na watu zaid ya 900000

Miez 2 youtube,number1 ya Diamond imetazamwa na watu zaid ya 900000

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Ni dhahiri kuwa jina la Diamond
Platnumz linazidi kukua, kutoka
Tanzania hadi Afrika mashariki na sasa
Afrika magharibi baada ya kufanya
collabo na Davido ambayo bado
haijatoka, hii yote inasababisha watu
wanaofuatilia kazi zake na kila
anachokifanya wazidi kuongezeka.
Kupata views nyingi katika mtandao
wa video Youtube kwa msanii
hutegemea vitu kadhaa ikiwa ni
pamoja na ukubwa wa msanii,
umaarufu wake pamoja na uzuri wa
video unaoweza kusababisha watu
wengi waitafute.
Video mpya ya hit single ya sasa ya
Platnumz ‘My Number One’ ambayo
ilipandishwa Youtube September 2
kupitia Channel ya Diamond Platnumz,
mpaka leo November 6 imetazamwa
mara 971,125 ikiwa ni miezi miwili tu
toka ipandishwe.
Video ya ‘Nataka kulewa’ iliyowekwa
youtube miezi 11 iliyopita
imetazamwa mara 101,401 na ‘Kesho’
iliyowekwa miezi 10 iliyopita
imetazamwa mara 270,901.
Ikumbukwe kuwa Diamond aliamua
kuwekeza pesa nyingi kwaajili ya
kwenda kufanya video ya ‘My Number
One’ nchini Afrika Kusini, na hakuna
ubishi kuwa uwekezaji wake umezaa
matunda toka siku anaizindua video
hiyo, kwa kumpa michongo
mbalimbali ya kuingiza pesa kupitia
ngoma hiyo.
 
Nyc.hivi nikiamua kutazama mara kumi nahesabiwa kama mtu mmoja au watu kumi?
 
Nyc.hivi nikiamua kutazama mara kumi nahesabiwa kama mtu mmoja au watu kumi?

Halafu siku hizi Mb za kifurushi cha siku huwa hakina kazi hivyo wengi huwa tunamalizia kwa kustream hivi vi2 hivyo siyo ishu kabisa. Kama kidume kweli atoe album akiuza hata nakara 200k ashukuru.
 
Nyc.hivi nikiamua kutazama mara kumi nahesabiwa kama mtu mmoja au watu kumi?

Views counting is based on IP address for a certain Period of time, so kama utaangalia video kwa same comp mara kadhaa mfululizo bado itahesabu as a single view.
 
Ushauri wa bure... heaven on desert

No need kupoteza pesa nyingi kwa video shooting..wakati Live performance mnatumia CD...

Sidhani kama kunajipya sana kwenye video ..

Boresheni kiwango cha "Music" na siyo Video..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom