Habari ya jumapili wapendwa.
Ni miezi 10 sasa toka nijiunge hapa,kiukweli ninamengi nimejifunza,na bado naendelea kujifunza, ahsante marafiki niliowapata hapa,wakike pia hata wa kiume.
Wengi umekuwa washauri pale ninapopata changamoto mbalimbali na hamkunitupa,nawapenda wote😘😘