hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
24 broHebu fafanua hapa...ulioa ukiwa na miaka 15 au 24?!
Nilikuwa naandika kakMkuu tunakuona online alaf hufanyi kitu kwa uzi wako tukueleweje sasa
Too negative bro,hujavuka mto bado una safari ndefu.Mkiambiwa msifanye ngono kabla ya kuoana hamtaki.
Umelikoroga sasa ulinywe.
Wacha watu wakuchapie mkeo kama ulivyowachpia kabla hujaoa.
Huyo siyo bro...ni sisterToo negative bro,hujavuka mto bado una safari ndefu.
Sasa iko wapi hiyo uliyokuwa unaiandika?!Nilikuwa naandika kak
nawe mkuu tunasubiri kigongo kingine mimi ni teja lako hapa.Tunasubiria muendelezo mkuu. Ukiwa tayari tunaomba uendelee.
Usijali mkuu. Soon tutaenda sawa tena huku.nawe mkuu tunasubiri kigongo kingine mimi ni teja lako hapa.
sawasawa mkuu tupo pamoja sana.Usijali mkuu. Soon tutaenda sawa tena huku.
Mkuu nimekuelewa sana sentensi yako ya "omba yasikukute" umeirudia mara nyingi sana..!Too negative bro,hujavuka mto bado una safari ndefu.
Fungua uzi,utaona mwendelezo umeshaishaSasa iko wapi hiyo uliyokuwa unaiandika?!
Soma tena,lakn cha mhimu omba yasikukuteIsije kua tangazo mana hamchelewi.
Kasome,iko tayrChondeee akiendelea naomba yoyote anitag
Iko tayr,nimeunganisha kwa chiniwhere is next episode
Mkuu,nimefupisha mengi,kwa sababu ndani ya muda mfupi yametokea mengi,lakini chumvi ilikuwa ya mawe,na namna ilivyokuwa inatumika,ilikuwa ikifka saa sita usku,mke wangu anachemsha maji kama glass mbili alafu unaweka chumvi,then akishaepua,anamimina kwenye glass,then tunaweka vifuniko kadhaa vya maji tuliyopewa,then tunakunywa,baada ya hapo ndio maombiMkuu pole na hongera. Ila hujafafanua, Chumvi ilikuwa ya mawe au ya kawaida, na matumizi yake na hayo maji ilikuwa ni vipi?