Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ni kweli kuna kitu amekificha tena makusudi tuUzi mreefu chanzo cha tatizo ata ujakigusia ila nafikiri kuna manzi ulikula imekukomesha
Huyo Ali kuwa balozi wa kamati ya nyeto😀🤣🤒Yaani umegonga saa 1 na nusu bila kupumzika..
Kweli maji na chumvi ni kiboko
Sijui kwanini sikuona huu uzi😅mfano,sanda lililokwisha tumika unatoa wapi?wanasema wanajua pa kulipata
Mimi nimecheka kwakoreactions zangu wakati nasoma story
Nlidindisha
Nlisikitika
Nlicheka
Nlicheka
Nlicheka
Cheka mpaka upaliweMimi nimecheka kwako
Mungu wa kweli anaishiMkuu sharti la maji na chumvi hukulieleza kwa kina, tafadhali tufafanulie.
Na pia kwa kuwa umekuwa shuhuda mzuri, si vibaya ukamtaja huyo mwanamama na mahali anapopatikana, kwa sababu si kila mtu atakuona tapeli, wengine watahitaji msaada kutoka kwako.
Maadamu umeamua kutoa ushuhuda basi hakuna budi kueleza yaliyo kamili, natanguliza shukrani.
Labda nimeshindwa kung'amua, hebu nifafanulie, na uhusiano wake na nilichokiandika mimi.Mungu wa kweli anaishi
Hujaona ushuhuda hapo mkuuLabda nimeshindwa kung'amua, hebu nifafanulie, na uhusiano wake na nilichokiandika mimi.