Na mambo fulani mpaka siku ya mwisho... hata akitaka mda mfupi kabla we mpe maana inasaidia zile naniii kulainisha mlango na ukafunguka na kumfanya apate haraka... kila lakheri kaka mpe mupe usimuruke...
Miezi mi 8 na zaidi mtoto anakuwa mkubwa na anaona so kama vipi mpe ila jua kabisa MTOTO ANAKUCHUNGULIA NA UNAMTISHA NA KUMPA MASWALI MENGI mojawapo ni "duu kumbe huko Dunian kuna kambare wakubwa kama anaekujaga jiran ya placenta yangu" tehe tehe tehe kind of joke jaman...