KERO Mifereji ya Stendi ya Kawe inatoa harufu mbaya sana, kiafya ni hatari

KERO Mifereji ya Stendi ya Kawe inatoa harufu mbaya sana, kiafya ni hatari

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mifereji ya Kawe stendi inatoa harufu mbaya sana, na ukizingatia kuna biashara zinafanyika zikiwemo biashara ya kuuza chakula.

Harufu inayosambaa katika eneo hilo ni takribani siku 5 sasa, na inavyoonekana ni mifereji ya kupitishia maji imejaa uchafu na kusabisha kutokea kwa harufu hiyo.

Mamlaka husika ichukue hatua za haraka kusafisha mitaro hiyo ili kuepuka magonjwa ya mlipuko inayoweza kutokea kama kipindupindu.

photo_2024-07-10_08-00-26.jpg

photo_2024-07-10_08-00-22.jpg
photo_2024-07-10_08-00-18.jpg
 
mtu akitoka mkoan kuja dar lazma atafnya kila namna watu tujue kaja mjini tu
 
Mifereji ya Kawe stendi inatoa harufu mbaya sana, na ukizingatia kuna biashara zinafanyika zikiwemo biashara ya kuuza chakula.

Harufu inayosambaa katika eneo hilo ni takribani siku 5 sasa, na inavyoonekana ni mifereji ya kupitishia maji imejaa uchafu na kusabisha kutokea kwa harufu hiyo.

Mamlaka husika ichukue hatua za haraka kusafisha mitaro hiyo ili kuepuka magonjwa ya mlipuko inayoweza kutokea kama kipindupindu.


Kwa kweli uchafu umekithiri kawe jamani.
Yani hadi watu wanaogopa kwenda sokoni kununua vyakula kuepuka kipindipindu.
Kinanuka ile mbaya 😏😏

Yani wanauza vitu vizuri lakini nikikumbuka swala la usafi kuwa mashaka makubwa unagairi.
 
Wenzenu wameweza kutengeneza barabara nyie uchafu wenu unawashinda
Mtakufa na magonjwa mkisubiri serikali hii isafishe
Kuna bwana afya anatembea na yeboyebo mtasubiri sana 😄
 
Back
Top Bottom