Uwepo wa ng'ombe wengi ulinishawishi kutaka kujenga kiwanda cha viatu lakini nilipochunguza malighafi nikakuta kumbe ngozi zetu nyingi hazifai kwa kazi hiyo, labda kwa mikanda tu ya suruali. Wafugaji wetu wanazalisha ngozi zisizo na ubora unaotakiwa. Wanaweka alama na kuichapa viboko mifugo yao ovyo bila kuzingatia kazi za ngozi.
Ngozi zetu zina makovu mengi mno zinazofaa kwa kulalia tu na kuanikia tumbaku juani likauke vizuri.
Tunaongoza Kwa kuwa na ng'ombe wengi wasiokuwa na maziwa wala ngozi
Kazi bado ipo kuelekea Tanzania ya viwanda.