Serikal katika hili wasikwepe kiini cha tatizo kwa sababu mifuko imekuwa na hali mbali pspf kwa mfano wanaidai serikali zaid ya Trillion na kitu bado mifuko mingine madeni yote .hayajalipwa had Leo , ishu sio ufanisi tu ishu ni kuwa wataua ajira za watu hasa walio wapya na kuleta migogoro tu . serikali waache kukimbia tatizo