Mifuko ya pensheni na uwekezaji usio na tija!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Hawa jamaa wanaamua tu wawekeze wapi ambapo Ni rahisi Kula usawa wa kamba.

Ona Sasa Blue Pearl Hotel - Ubungo Chali na deni mabilioni (8.89b TZS).

Watu wanaendelea ku-enjoy kama hakuna kilichotokea. Kikotoo ndo hicho.

NB: Mjini mipango, deni la Watanganyika

 
Hawa jamaa wanaamua tu wawekeze wapi ambapo Ni rahisi Kula usawa wa kamba. Ona Sasa Blue Pearl Hotel - Ubungo Chali na deni mabilioni. Watu wanaendelea.ku-enjoy kama hakuna kioichotokea. Kikotoo ndo hicho.
Fafanua hilo deni lime accumulate je?
 
Blue Pearl Hotel ni asset ya PSSSF au NSSF na wanamiliki hisa ngapi 100% or less?

Taarifa yako ya juu juu sana ngumu kuelewa what exactly you are on about.
 
Kuna swali liliulizwa!!" Je watazikwa nazo" lakini je hatua gani ilichukuliwa!!.
 
Hawa ni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…