Mifuko ya plastiki imerudi kwa kasi ya 5G

Mifuko ya plastiki imerudi kwa kasi ya 5G

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
January Makamba alifanikiwa sana kuweka mikakati ya kupambana mifuko ya plastiki. Ile mieusi ya kubebea chipsi nk. Hongera kwake.

Mifuko hiyo imerudi tena kwa kasi kubwa na safari hii ni rangi ya buluu bahari. Hata Waziri Suleiman Jaffo anazijua. Tunakwama wapi vita ya mazingira?
 
January Makamba alifanikiwa sana kuweka mikakati ya kupambana mifuko ya plastiki. Ile mieusi ya kubebea chipsi nk. Hongera kwake.

Mifuko hiyo imerudi tena kwa kasi kubwa na safari hii ni rangi ya buluu bahari. Hata Waziri Suleiman Jaffo anazijua. Tunakwama wapi vita ya mazingira?
Ukishakubaki kucheka na MCHINA(eti ni muwekezaji) hayo ndio matatizo yake.Wekezaji linaiba maji/umeme?hahaaa
 
Kwakweli kilichofanyika ni kubadilisha tu rangi za mifuko, watz sio watu wa mchezo mchezo.
 
Waiache inasaidia sana huku mitaa, ununue mchele 3400 mfuko 300 mchele utakuwa 2700
 
January Makamba alifanikiwa sana kuweka mikakati ya kupambana mifuko ya plastiki. Ile mieusi ya kubebea chipsi nk. Hongera kwake.

Mifuko hiyo imerudi tena kwa kasi kubwa na safari hii ni rangi ya buluu bahari. Hata Waziri Suleiman Jaffo anazijua. Tunakwama wapi vita ya mazingira?
Jafo hawezi kwanza hiyo wizara aiwezi watu wamlalamikia kuhusu makelele ya miziki kwenye mabaa na makanisa kashindwa hawezi anachukua chake mapema
 
Wanashindwa kuzuia vitu vya maana wanazuia mifuko wakati kila siku madocta wanatoa mimba tu watoto wadogo, zuieni vya msingi
 
Back
Top Bottom