Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Taarifa za awali kutoka vyombo vya habari vya Urusi vimeeleza kuwa kuna dalili kuwa ndege ya abria ya Azerbaijan iliyoanguka ndani ya nchi ya Kazakhstan, ikielekea nchini Urusi, imedunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga ya Urusi.
Taarifa zinaeleza kuwa footage ya tukio inaonesha eneo la mkia wa ndege likiwa na tundu kubwa la kupigwa na kombora. Mpaka sasa abiria 38 wamethibitika kupoteza maisha, huku manusura 10 wakiwa kwenye hali mbaya sana. Ndege ilikuwa na abiria 70.
Note: KWA SASA NI HATARI SANA KUSAFIRI KWA KUPITIA ANGA LA NCHI AMBAZO ZIPO VITANI.
The Azerbaijani Airlines plane that crashed on Dec. 25 en route to Russia may have been shot down by a Russian surface-to-air missile, according to reports from independent Russian media outlets.
The aircraft, carrying passengers from Baku, Azerbaijan, to Grozny in Russia's Chechen Republic, crashed near the coastal city of Aktau in Kazakhstan.
Footage of the plane shows traces of a large surface-to-air missile impact on the tail section of the plane, according to Russian independent media outlet Meduza. Similar-looking holes in the fuselage have reportedly been documented in numerous images and videos of military and civilian aircraft downed by surface-to-air missiles.
Taarifa zinaeleza kuwa footage ya tukio inaonesha eneo la mkia wa ndege likiwa na tundu kubwa la kupigwa na kombora. Mpaka sasa abiria 38 wamethibitika kupoteza maisha, huku manusura 10 wakiwa kwenye hali mbaya sana. Ndege ilikuwa na abiria 70.
Note: KWA SASA NI HATARI SANA KUSAFIRI KWA KUPITIA ANGA LA NCHI AMBAZO ZIPO VITANI.
The Azerbaijani Airlines plane that crashed on Dec. 25 en route to Russia may have been shot down by a Russian surface-to-air missile, according to reports from independent Russian media outlets.
The aircraft, carrying passengers from Baku, Azerbaijan, to Grozny in Russia's Chechen Republic, crashed near the coastal city of Aktau in Kazakhstan.
Footage of the plane shows traces of a large surface-to-air missile impact on the tail section of the plane, according to Russian independent media outlet Meduza. Similar-looking holes in the fuselage have reportedly been documented in numerous images and videos of military and civilian aircraft downed by surface-to-air missiles.