Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Hakuna mfumo wa serikali mtandao unaotoa huduma kwa wakati. Mifumo yote inasumbua na ipo slow sana.
Kwa wataalam wa TEHAMA mtakubaliana na mimi kwamba kadri mifumo ya serikali ya TEHAMA inavyohujumiwa ndivyo wanasiasa na watoa maamuzi wanavyosukumwa kutafuta suluhu mpya
Maana yake hapa tulipo wapo watu wanataka kuua mifumo iliyopo aliyosimika JPM ili wapige pesa. Watu hawataka kulipa kwa mtandao wanawaza kulipa manual.
Natabiri soon zitaanza kutangazwa tenda za kutengeneza mifumo ; soon tutaanza kuambiwa mikataba aliyoingia JPM imeisha na hatuna wataalam wa ndani walioandaliwa hivyo tunaanza kuwapa tenda wageni.
Hizi mentality zakuua mifumo na miundombinu ya serikali kwa ajili ya biashara zinarudisha sana nchi nyuma lakini pia zinakwamisha maendeleo ya watanzania.
Kwa wataalam wa TEHAMA mtakubaliana na mimi kwamba kadri mifumo ya serikali ya TEHAMA inavyohujumiwa ndivyo wanasiasa na watoa maamuzi wanavyosukumwa kutafuta suluhu mpya
Maana yake hapa tulipo wapo watu wanataka kuua mifumo iliyopo aliyosimika JPM ili wapige pesa. Watu hawataka kulipa kwa mtandao wanawaza kulipa manual.
Natabiri soon zitaanza kutangazwa tenda za kutengeneza mifumo ; soon tutaanza kuambiwa mikataba aliyoingia JPM imeisha na hatuna wataalam wa ndani walioandaliwa hivyo tunaanza kuwapa tenda wageni.
Hizi mentality zakuua mifumo na miundombinu ya serikali kwa ajili ya biashara zinarudisha sana nchi nyuma lakini pia zinakwamisha maendeleo ya watanzania.