Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dagaa ana mifupa ana miba? Na kama miba angeanza na ya samaki kwanza na si dagaa.
Kwa kifupi kiti chochote kigumu au kinachochomachoma ni tatizo kwa mwenye vidonda. Sijui kwa nini dkt amemchagua dagaa ambaye miiba yake si migumu na husagika kirahisi kwenye meno. Labda itakua tatizo kwa watu wanaomeza dagaa wazima wazima kama wapo.
Inawezekama wapo maana wasukuma hawashindwi kitu
Dagaa ana mifupa ana miba? Na kama miba angeanza na ya samaki kwanza na si dagaa.
Kwa kifupi kiti chochote kigumu au kinachochomachoma ni tatizo kwa mwenye vidonda. Sijui kwa nini dkt amemchagua dagaa ambaye miiba yake si migumu na husagika kirahisi kwenye meno. Labda itakua tatizo kwa watu wanaomeza dagaa wazima wazima kama wapo.
Inawezekama wapo maana wasukuma hawashindwi kitu