Migilo:- Kauli yako ni tofauti na chama chako kuhusu katiba.

Migilo:- Kauli yako ni tofauti na chama chako kuhusu katiba.

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Mheshimiwa Asharose Migilo katika ahadi zake za kutekeleza akiwa waziri wa sheria na katiba amesema atahakikisha katiba inapatikana kama ilivopendekezwa na wananchi wengi, hilo halina ubishi kwani hii ndio demokrasia lakini baadhi ya viongozi wenzako kwenye chama chako (hasa Zanzibar tena wachache) wanataka kuhakikisha maoni ya wengi hayapiti. Je huoni hii itakukwaza katika shughuli zako? Kumbuka hawa (ZNZ) ndio waliokuwa wakitaka kukwamisha maridhiano kati ya CCM na CUF lakini waheshimiwa Rais Karume na Kikwete waliwazibia masikio na leo tunaiona Zanzibar ipo shwari.
 
Jacobus,

..Dr.Migiro alikuwa mjumbe wa tume ya Jaji Kissanga.

..utakumbuka kwamba ripoti yao ilimtibua sana Mkapa kiasi cha kupelekea kumshambulia Jaji Kissanga.
Nguruvi3, Mchambuzi
 
Last edited by a moderator:
Jacobus,

..Dr.Migiro alikuwa mjumbe wa tume ya Jaji Kissanga.

..utakumbuka kwamba ripoti yao ilimtibua sana Mkapa kiasi cha kupelekea kumshambulia Jaji Kissanga.
Mchambuzi
Na wakati huo huo akiwa kada wa CCM, chama chake kinapingana na matakwa ya wananchi. Nashindwa kuelewa ni jinsi gani atawatumikia 'mabwana wawili'.

Tume ya Kisanga ilikuja na mambo mazuri sana. Leo tusingekuwa hapa kama si ubishi, ubabe na ubabaishaji wa Mkapa.
Makapa alimtukana sana Jaji Kisanga hadi kufikia mahali jaji ametoweka kabisa katika mambo ya kitaifa. So sad.
 
Jacobus,

..Dr.Migiro alikuwa mjumbe wa tume ya Jaji Kissanga.

..utakumbuka kwamba ripoti yao ilimtibua sana Mkapa kiasi cha kupelekea kumshambulia Jaji Kissanga.
Nguruvi3, Mchambuzi
Kumbe ni Migiro, nashukuru mkuu kwa taarifa na mzee Jaji Mark Bomani karejea tena kuwaasa CCM maslahi jana ila nasangaa media hazimpi muda wa kutosha kama 'antipeople' wanavopewa.
 
Back
Top Bottom