KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Hivi viongozi wa Afrika mna akili au matope ya kupenda sifa,
Hao mnaowaita wawekezaji nyie wenyewe ndo mmewapa utajiri, ila kuwapa waafrika wenzenu mnaona uvivu, hivi hizi akili mnazitoa wapi, halafu miaka ya mbele mkifa mnawaacha watoto wa vizazi vyenu na majirani yenu yani waafrika wenzenu Masikini.
Sasa sijui mnapenda sifa kwa kipi, matajiri wapo wengi, wengine mnaweza kuwatengeneza na mkiwatengeneza wataanzisha vitega uchumi humuhumu ambayo itawasaidia zaidi na zaidi, ila mnaona bora muwapende wazungu zaidi
Hao mnaowaita wawekezaji nyie wenyewe ndo mmewapa utajiri, ila kuwapa waafrika wenzenu mnaona uvivu, hivi hizi akili mnazitoa wapi, halafu miaka ya mbele mkifa mnawaacha watoto wa vizazi vyenu na majirani yenu yani waafrika wenzenu Masikini.
Sasa sijui mnapenda sifa kwa kipi, matajiri wapo wengi, wengine mnaweza kuwatengeneza na mkiwatengeneza wataanzisha vitega uchumi humuhumu ambayo itawasaidia zaidi na zaidi, ila mnaona bora muwapende wazungu zaidi