Migogoro ya waajiriwa tume ya utumishi imejazana! Lini makamishna wanateuliwa?

Migogoro ya waajiriwa tume ya utumishi imejazana! Lini makamishna wanateuliwa?

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2016
Posts
2,633
Reaction score
2,297
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka!

Toka makamishna wastaafu mwezi January 2018, mpaka sasa hawajateuliwa tena na mheshimiwa mkuu wa nchi!

Kwa hali ya sasa ilivyo, kuna kesi nyingi sana za migogoro ya kazi zimerundikana pale time ya utumishi! Ina maana kama makamishna hamna hakuna justification ya kazi wanazofanya! Kuna haja gani ya kufanya kazi mnarundika?

Kama mheshimiwa kagoma kuteua, si hii tume ifutwe iende ofisi ya utumishi wa umma, kama ilivyokuwa tume ya mipango ilivyopelekwa hazina!

Nawasilisha.
 
Tuvute Subira, Rais yupo bize Na Masuala Makuu ya Nchi mambo ya stgler gauge, standard gauge, Ujenzi wa Meli ya Kisasa Mwanza n.k

Vitu vidogo dogo Kama hivyo vumilieni kidogo
 
Tuvute Subira, Rais yupo bize Na Masuala Makuu ya Nchi mambo ya stgler gauge, standard gauge, Ujenzi wa Meli ya Kisasa Mwanza n.k

Vitu vidogo dogo Kama hivyo vumilieni kidogo
Hii serikali ya awamu hii ni hatari sana
 
Kwani makamishina ndiyo wanasuluhisha na kutatua migogoro ya kazi?
 
Unaongelea wapi mkuu, mbona mwezi jana nilikuwa Tanga na shauri lilisikilizwa? Yawezekana sijakuelewa??
 
Back
Top Bottom