Migomo bado yaendelea UDOM!!!

Mawenzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,251
Reaction score
347
Habari za kuaminika ni kwamba migomo bado yaendelea UDOM. Jana Ijumaa asubuhi wanafunzi wa School of Medicine and Nursing waliandaama hadi bungeni kwenda kumwona waziri wa Elimu. Madai yao ni mengi lkn ni pamoja na kufundishwa bila practicals, yaani wanafundishwa kama secondary za kata. Jiandaeni kwa baadaye kuja kutibiwa na half-cooked doctors and nurses.

Jana asubuhi inasemekana walionana na waziri na jioni kulikuwa na kikao kizito kilichohusisha Waziri Mkuu, Waziri wa Elimu, uongozi wote wa juu wa UDOM na uongozi wa wanafunzi. Sijui kilichojadiliwa.

Wenye details watujuze tafadhali. Nawakilisha.
 
ungesema wanafunzi wa medicine,acha ku-generalize pumbav
 
ungesema wanafunzi wa medicine,acha ku-generalize pumbav

Nime-generalize vipi?? Mbona hasira bila kuchokozwa? Ningesema uongo labda ndiyo ungenishambulia. Au wewe ni kati ya ule uongozi mbove wa UDOM?
 
we ungeweka title inayolingana na maelezo,sio unakuwa ka magazet ya udaku
 
we ungeweka title inayolingana na maelezo,sio unakuwa ka magazet ya udaku

Thanx for indirectly confirming what I thought was a mere rumour!!
 
i didnt mean that i have heard the same story,i was jus directing u to not misguiding us ont the story that u r tellin us
 
Why not talking about the topic, alie toa mada ni mwongo na anapotosha umma udom kuko swhari UE inaenderea.wanataruma siyovizuri kupotoshana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…