Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
Kumekuwepo na mijadala yenye mawazo mchanganyiko kuhusu mwenendo wa kocha mkuu wa Yanga. Tuchanganue hapa yafuatayo:
1. Nini kinachowapa mashaka mashabiki wa Yanga kuhusu mwenendo wa benchi lao la ufundi?
2. Kwanini aondoke wakati huu na asipewe muda wa marekebisho?
3. Kwanini asiondoke?
.
Karibuni.
1. Nini kinachowapa mashaka mashabiki wa Yanga kuhusu mwenendo wa benchi lao la ufundi?
2. Kwanini aondoke wakati huu na asipewe muda wa marekebisho?
3. Kwanini asiondoke?
.
Karibuni.