Miguel Angel Gamondi aondoke au abaki Yanga? Kwa nini?

Chapati Tatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2024
Posts
338
Reaction score
740
Kumekuwepo na mijadala yenye mawazo mchanganyiko kuhusu mwenendo wa kocha mkuu wa Yanga. Tuchanganue hapa yafuatayo:

1. Nini kinachowapa mashaka mashabiki wa Yanga kuhusu mwenendo wa benchi lao la ufundi?

2. Kwanini aondoke wakati huu na asipewe muda wa marekebisho?

3. Kwanini asiondoke?
.
Karibuni.
 
Kwani yeye ndiye kocha wa kwanza na wa mwisho kufundisha Yanga!
 
Aondoke aisee atuachie timu yetu. Timu apewe Mzawa MKwasa akisaidiwa na Julio au Mwambusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…