Miguel Escobar, fundi kutoka America anayekipiga Singida FC

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Nilikuwa naangalia live mchezo wa kirafiki baina ya Singida vs Rayon Sport pale Rwanda, kuna fundi mmoja anaitwa Miguel Escobar ambaye Singida wamemsajili dakika za mwisho, jamaa habahatishi, anajua kumiliki mpira, ana kasi, ana control, ana akili mingi sio nyingi, hawa waamerica wangekuwa Simba hawa hasa huyu Escobar na Bruno, kudadeki.

Ceo Simba, wachezaji mnaosajili Simba mnawaokota wapi, wenzenu Singida wanawatoa wap, take your time kumuangalia Miguel Escobar, fundi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…