HuelewekiKenya kuna demokrasia aisee, sijui kwanini hatujifunzi uko ili tuwafukuze nchini kina mbowe na lowassa kama Miguna, alafu wao wajifunze udikteta wetu wamruhusu miguna akae nchini kama kina mbowe
Siasa haina urafiki wa kudumu.
Odinga ameshapewa chake.
Mkuu, tulia, panga mawazo yako vema ueleweke. Sikulazimishi. Ila umeandika kama una mafua ya ndege.Kenya kuna demokrasia aisee, sijui kwanini hatujifunzi uko ili tuwafukuze nchini kina mbowe na lowassa kama Miguna, alafu wao wajifunze udikteta wetu wamruhusu miguna akae nchini kama kina mbowe
Ni vigumu kunielewaHueleweki
Hujaeleweka mwana,lumumbaKenya kuna demokrasia aisee, sijui kwanini hatujifunzi uko ili tuwafukuze nchini kina mbowe na lowassa kama Miguna, alafu wao wajifunze udikteta wetu wamruhusu miguna akae nchini kama kina mbowe
Ahha hhahah kweli,jamaa kuwa karibu ni kama anaweka giza fulaniTena Odinga ndiyo anataka jamaa atupwe mbali kabisa na kenya
Huyo jamaa britanicca zimedata! Siyo kuwa ni wewe tu huelewi ila ni wengi hatumwelewi!Hueleweki
Wewe ni zaidi ya zuzu maji! Kenya wanaruhusiwa kuwa na passport mbili kwani wanaruhusu uraia wa nchi mbili. Kabla hujaandika uwe unasoma ili uchangie huku ukijua unaandika nini. Huyu jamaa hajafukuzwa kwa sababu ana passport mbili.Kitendo cha kumiliki passport mbili ni usaliti kabisa kwa nchi, tafsiri yake alitaka asababishe vurugu na mauaji halafu atimke, anapata tabu gani sasa hivi kwenda kuishi kwenye nchi anayomiliki uraia wake, fool