M MOUREEN Member Joined Apr 30, 2011 Posts 37 Reaction score 25 Jul 25, 2012 #1 Jamani msaada pleasee kwa mwenye kujua dawa ya kuondoa maumivu ya miguu kwenye unyayo. Maumivu hutokea kila mara unapotaka kutembea baada ya kukaa hata kwa muda mfupi au kulala. Uzito wa mwili ni wa kawaida.
Jamani msaada pleasee kwa mwenye kujua dawa ya kuondoa maumivu ya miguu kwenye unyayo. Maumivu hutokea kila mara unapotaka kutembea baada ya kukaa hata kwa muda mfupi au kulala. Uzito wa mwili ni wa kawaida.
displayname JF-Expert Member Joined Feb 15, 2013 Posts 1,972 Reaction score 1,085 Sep 12, 2016 #2 mdada umeptona tatizo lako? inamaana hakuna ushauri wowote umetolewa hapo!!