habari ndugu zangu wa jf mimi ni kijana nasumbuliwa na miguu yapata miaka 5 kila nikifanya mazoezi ya mpira tu miguu inauma kweli ila nikiachana na mazoezi sisikii miguu ikiniuma jana nimecheza mechi na timu pinzani hapa mtaani napo ishi nikiwa uwanjani nilihisi miguu kuuma sana nakajikaza hadi mwisho.naomba kwa yeyote anayejua dawa ya tatizo kama hili anisaidie limenitesa muda mrefu sana na mazoezi nayapenda sana siwezi acha