Miguu kuwaka moto visigino kwa mtoto

Miguu kuwaka moto visigino kwa mtoto

mande

Member
Joined
Mar 13, 2008
Posts
8
Reaction score
1
Wakuu heshima mbele!wajameni nina shida!naamini kabisa huku jamvini kuna wataalamu waliobobea!mimi kijana wangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi minne!ana uzito wa Kg 11,tatizo lake lipo kama ifuatavyo!

Huwa hana tatizo lolote ila ikifika mida ya usiku miguu yake visigino vinakua vya moto si kawaida!nilimpeleka hospital dokta akasema labda ni UTI au ni malaria,tukachek malaria hana kirus cha malaria hata!na huwa hana homa hata ila ni visigino tu ndio vinakua vya moto!naombeni sana wandugu mnijuze hili ni tatizo gani na dawa yake ni nini?

Asanteni
 
Mkuu vipi ulishapata majibu kwenye hili? Nauliza hivyo kwani nini mdogo wangu naye kaniuliza juu ya mtoto wake kuwa na tatizo kama hilo nikakumbuka kuwa niliwahi kuona swali kama hili hapa Jf. Naungana nawe kuomba anayeweza kutuhabarisha afanye hivyo tafadhali ama kama ulishapata ufumbuzi unijuze pia.
 
Back
Top Bottom