Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Timu ya AL Nassr inazidi kujipatia Umaarufu mkubwa Duniani kutokana na Uwekezaji wake kwa namba mbili yaani CR7 na SM10.
Hawa viumbe wamejitengenezea Ulimwengu wao ambao unawapa kila wanachokihitaji kwa wakati sahihi.
Mfano, Sadio Mane anaichezesha akili yake kuhakikisha Ronaldo anaitawala miguu yake kila awapo na mpira. Wawili hawa toka kutua kwao ndani ya AL Nassr wamekuwa na Furaha sana. Hii imekuja kwa mambo yafuatayo:--
[emoji837] WANAINGIZA FEDHA ZA KUTOSHA
[emoji837] WANAUCHEZEA MPIRA WATAKAVYO
[emoji837] HARUFU YA UBAGUZI WA RANGI WANAINUSA KWA MBAAALI
[emoji837] WANAFURAHIA KUWA SEHEMU YA HISTORIA YA KUUANGUSHA UTAWALA WA SOKA LA KIBAGUZI
.
.
.
.
.
.
.
#solomatv_updates
Hawa viumbe wamejitengenezea Ulimwengu wao ambao unawapa kila wanachokihitaji kwa wakati sahihi.
Mfano, Sadio Mane anaichezesha akili yake kuhakikisha Ronaldo anaitawala miguu yake kila awapo na mpira. Wawili hawa toka kutua kwao ndani ya AL Nassr wamekuwa na Furaha sana. Hii imekuja kwa mambo yafuatayo:--
[emoji837] WANAINGIZA FEDHA ZA KUTOSHA
[emoji837] WANAUCHEZEA MPIRA WATAKAVYO
[emoji837] HARUFU YA UBAGUZI WA RANGI WANAINUSA KWA MBAAALI
[emoji837] WANAFURAHIA KUWA SEHEMU YA HISTORIA YA KUUANGUSHA UTAWALA WA SOKA LA KIBAGUZI
.
.
.
.
.
.
.
#solomatv_updates