pangapatuni muhanzagara
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 269
- 178
Napenda kuchukua nafasi hii kuwataadhalisha Mihan gas kwa ujinga wa mipango isiokuwa na manufaa kwa jamii wala kampuni yenyewe
Kwanza kabisa bado ni wachanga katika usambazaji wa mitungi na gas yao kwa kipindi cha miezi mi2 sasa bei ya gas yao yao iko juu kuliko Oryx na makampuni mengine
Alafu wanaongoza kwa kuwa na Superdealer ambao wanafikia takribani 30 na baadhi yao hata hawana Elimu ya gas wao wako kuuza tu
Pia Mihan gas hawana utaratibu unaoeleweka kila Supeedealer ana bei yake ya kuuza gas sijawahi kuona Kampuni inajenga matabaka kwa wasambzaji wao
Leo wanawaambia Superdealer ukinunua tani 3 kwa wakati mmoja nitakuuzia gas yenye ujazo wa 6kg kwa sh12,500/- badala ya sh13,500/- na wa 15kg 32,500/- badala ya sh 34,500/-
Sasa basi je yule asiyenunua hizo tani3 si anauza bei kubwa na yule aliyeweza atapungza bei na hapo pia umegawa maeneo kwa kila Superdear sasa basi utakuta kinondoni bei yake manzese bei kongowe bei yake
Sijui nia yenu ni kupungza Superdealer kwa wale watakao shindwa ama vp na je hilo tabaka la bei mna mkomoa nan?
Alafu mnasema na matangazo kibao kwenye tv sifa nyingi braa braa tu bei nafuu wap? Mjitafakari
Au kuna mchezo mchafu mnataka kuu Mihan gas kiani au Oryx ameshapandikiza kibaraka wake
Wasambazaji wenu baadhi yao hawana uweze wa kusambaza gas mtu unampa Superdealer wakati hana mtaji kama vitendea kazi kaeni mjitadhimini narudia tena acheni kutengeneza matabaka
Nina mengi nitawachosha wasomaji na msipo jitafakari mtatoka kwenye game com gas piga kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa bado ni wachanga katika usambazaji wa mitungi na gas yao kwa kipindi cha miezi mi2 sasa bei ya gas yao yao iko juu kuliko Oryx na makampuni mengine
Alafu wanaongoza kwa kuwa na Superdealer ambao wanafikia takribani 30 na baadhi yao hata hawana Elimu ya gas wao wako kuuza tu
Pia Mihan gas hawana utaratibu unaoeleweka kila Supeedealer ana bei yake ya kuuza gas sijawahi kuona Kampuni inajenga matabaka kwa wasambzaji wao
Leo wanawaambia Superdealer ukinunua tani 3 kwa wakati mmoja nitakuuzia gas yenye ujazo wa 6kg kwa sh12,500/- badala ya sh13,500/- na wa 15kg 32,500/- badala ya sh 34,500/-
Sasa basi je yule asiyenunua hizo tani3 si anauza bei kubwa na yule aliyeweza atapungza bei na hapo pia umegawa maeneo kwa kila Superdear sasa basi utakuta kinondoni bei yake manzese bei kongowe bei yake
Sijui nia yenu ni kupungza Superdealer kwa wale watakao shindwa ama vp na je hilo tabaka la bei mna mkomoa nan?
Alafu mnasema na matangazo kibao kwenye tv sifa nyingi braa braa tu bei nafuu wap? Mjitafakari
Au kuna mchezo mchafu mnataka kuu Mihan gas kiani au Oryx ameshapandikiza kibaraka wake
Wasambazaji wenu baadhi yao hawana uweze wa kusambaza gas mtu unampa Superdealer wakati hana mtaji kama vitendea kazi kaeni mjitadhimini narudia tena acheni kutengeneza matabaka
Nina mengi nitawachosha wasomaji na msipo jitafakari mtatoka kwenye game com gas piga kazi
Sent using Jamii Forums mobile app