Miili 27 yatupwa kando ya barabara nchini Zambia

Miili 27 yatupwa kando ya barabara nchini Zambia

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
1670825830460.png

Miili hiyo inayoaminika kuwa ni ya Wahamiaji wenye umri kati ya miaka 20 hadi 38 kutoka Ethiopia imekutwa kando ya barabara ya Ngwerere, Kaskazini mwa Mji Mkuu wa Lusaka.

Inaaminika walifariki Dunia kwa kukosa hewa wakiwa njiani kusafirishwa. Zambia imekuwa ikitumika kama njia panda ya Wahamiaji kwenda Afrika Kusini.

Miili hiyo imehifadhiwa katika Chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu cha Zambia.

===========

Twenty seven bodies dumped by the roadside in Zambia

The bodies of 27 people, believed to be migrants from Ethiopia, have been "dumped" by the roadside in Ngwerere area north of Zambia's capital Lusaka.

They likely suffocated to death while in transit, Police Spokesperson Danny Mwale told the BBC.

One survivor found "gasping for air" has been rushed to a local hospital, he said.

Zambia is a transit point for migrants, mostly from the Horn of Africa, who want to reach South Africa.

Mr Mwale said residents of Ngwerere found the bodies on Sunday at 06:00 local time (04:00 GMT).

He said the police believe the migrants are Ethiopian nationals based on the identity documents found on them.

"Our preliminary investigations indicate that a total number of 28 persons, all males aged between 20 and 38, were dumped in Meanwood Nkhosi along Chiminuka road in Ngwerere area by unknown people," the police said in a statement.

The bodies have been taken to Zambia University Teaching Hospital mortuary.

In neighbouring Malawi, the authorities discovered 25 bodies of Ethiopian migrants in a mass grave in October.

The police there said they had evidence to link the stepson of Malawi's ex-President Peter Mutharika to the grim discovery.

Source: BBC
 
... waitumie kwa shughuli za kitabibu.
 
Kwanini wanakimbilia South Africa??

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom