PROPAGANDA ZA WANASIASA WA AFRIKA. NA TANZANIA WAMEIBA NINI MBONA MASKINI?Duuuuh, mizuri kuishi ipo ulaya, mibaya ni afrika na mashsriki ya kati...
Chagua kuish damascus au zurich bila unagua mwenyeweππDuuuuh, mizuri kuishi ipo ulaya, mibaya ni afrika na mashsriki ya kati...
Africa ya kati, Congo, Msumbiji, na sehemu zenye vita zote kwenye Uasi siyo sehemu salama hao watafiti watakuwa wamechemsha sanaDuuuuh, mizuri kuishi ipo ulaya, mibaya ni afrika na mashsriki ya kati...
Sio namayuni?Nadhani kwenye list ya Miji Bora kabisa kuishi Afrika Mashariki wameisahau "Kipatimu"
Sudan kusini, Dafur, Palestina, Lebanon, Cambodia, Afaganistan, IraqMiji Kumi mizuri kuishi........
Kashmir, chechinia, sahara magharibi, chad, BurundiSio namayuni?
Mleta mada nadhani hana taarifa za Duniani kote hajui hata sehemu mbaya Duniani, huko Mexico Brazil ipo miji mingi yenye uhalifu mkubwa pia hata America india Ulaya kule Ireland kuna uasi wa mjini, Colombia, South Africa ni mojawapo ya Nchi zenye miji yenye uhalifu mwingi mkubwa.Scandinavian hakuna mji hata mmoja mzuri? Looh!
Harare ni mbaya kuliko Mogadishu?? Utani
Everyday is Saturday π
Kabisa! Huko Northern Ireland ni tension muda wote, au hata Spain, Barcelona kuna mitaa kuna panya road, hupitiii! Miji ka Rio de Janeiro na mingine ya Brazil ni wajeda na mitutu na raia na mitutu, leo wanaiweka Harare wanaionea, wakati Joburg ni moto!Mleta mada nadhani hana taarifa za Duniani kote hajui hata sehemu mbaya Duniani, huko Mexico Brazil ipo miji mingi yenye uhalifu mkubwa pia hata America india Ulaya kule Ireland kuna uasi wa mjini, Colombia, South Africa ni mojawapo ya Nchi zenye miji yenye uhalifu mwingi mkubwa
Nadhan walau Chumo au kibata n kuzuri zaidiSio namayuni?
Unajua Cape town inaongoza kwa uharifu kuizidi Johannesburg na Cape mambo ya ganster na namba ndio nyumbani kwake mwizi wa jozi Cape anatulia tu kule.Johannesburg, Mogadishu, Yemen, Mexico City imesahaulika vipi?
Kipatimu ndio Chato!?Nadhani kwenye list ya Miji Bora kabisa kuishi Afrika Mashariki wameisahau "Kipatimu"