Hapa katikati kumezuka kasumba mbaya sana kwa baadhi ya miji na majiji yetu kuzongwa na wingi wa mabango yasiyo na tija kwa uchumi wa nchi yetu.
Kila sehemu unaenda unakutana na mabango tena makubwa makubwa mengine ya mtu kumpongeza mke wake au mume wake kwa jinsi anavyompenda n.k.
Hii inaleta taswira mbovu sana kwa miji au majiji na nchi yetu kwa ujumla!
Kwa nini usitafutwe utaratibu mwingine wa watu kuwatangaza watu au biashara zao?
Kila sehemu unaenda unakutana na mabango tena makubwa makubwa mengine ya mtu kumpongeza mke wake au mume wake kwa jinsi anavyompenda n.k.
Hii inaleta taswira mbovu sana kwa miji au majiji na nchi yetu kwa ujumla!
Kwa nini usitafutwe utaratibu mwingine wa watu kuwatangaza watu au biashara zao?