johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 841
- 909
Nimekuwa nikifuatilia jinsi vyama vyetu vinavyofanya kampeni zake, hususan jinsi ya kuwafikishia wananchi, wapiga kura, taarifa mbalimbali
zipo njia nyingi lakini moja ni ile ya kutumia vyombo vya habari, (magazeti, radio na TV) vyama hivi viko mstari wa mbele zaidi kutumia magazeti na Tv zaidi ili kufikisha ujumbe wake
lakini kwa kiasi fulani nafikiri hawatendi haki kw awapiga kura walioko vijijini, maeneo kama Murusagamba kule Ngara magazeti hayafiki na hata mjini Ngara kwenyewe magazeti yanafika baada ya siku tatu, lakini wenye uwezo wa kuyasoma ni wachache sana. wengi hawaelewi nini maana ya raia mwema, mwananchi n.k
TV ni vile vile, ni watu wachache wenye umeme na kumiliki Tv!
bado naamini kuwa radio zina mchango katika kuwafikia watu wengi zaidi
Naambiwa kuwa wana mikakati wa wagombea wa nafasi za urais wa Tanzania wamekataa kutumia radio kwa vile ni njia ya kizamani
vinginevyo utaelezaje hatua ya wagombea hawa kukataa kutumia radio kama kwizera yenye usikivu mzuri katika mikoa ya Kigoma, kagera na Rukwa
Naambiwa kuwa wana mikakati hao ikiwa ni pamoja na wale wa Dr Slaa ambaye baadaye leo atakwenda wamekataa kulipia chini ya shilingi lai tano ili mkutano wao utangazwe moja kwa moja!
Tujadili
zipo njia nyingi lakini moja ni ile ya kutumia vyombo vya habari, (magazeti, radio na TV) vyama hivi viko mstari wa mbele zaidi kutumia magazeti na Tv zaidi ili kufikisha ujumbe wake
lakini kwa kiasi fulani nafikiri hawatendi haki kw awapiga kura walioko vijijini, maeneo kama Murusagamba kule Ngara magazeti hayafiki na hata mjini Ngara kwenyewe magazeti yanafika baada ya siku tatu, lakini wenye uwezo wa kuyasoma ni wachache sana. wengi hawaelewi nini maana ya raia mwema, mwananchi n.k
TV ni vile vile, ni watu wachache wenye umeme na kumiliki Tv!
bado naamini kuwa radio zina mchango katika kuwafikia watu wengi zaidi
Naambiwa kuwa wana mikakati wa wagombea wa nafasi za urais wa Tanzania wamekataa kutumia radio kwa vile ni njia ya kizamani
vinginevyo utaelezaje hatua ya wagombea hawa kukataa kutumia radio kama kwizera yenye usikivu mzuri katika mikoa ya Kigoma, kagera na Rukwa
Naambiwa kuwa wana mikakati hao ikiwa ni pamoja na wale wa Dr Slaa ambaye baadaye leo atakwenda wamekataa kulipia chini ya shilingi lai tano ili mkutano wao utangazwe moja kwa moja!
Tujadili