Elections 2010 Mikakati ya ubunge oktoba 2010

Elections 2010 Mikakati ya ubunge oktoba 2010

saitama_kein

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
981
Reaction score
99
Wadau na wapenda mabadiliko....natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la UKONGA kwa tiketi ya CHADEMA.
Michango ya mawazo, ushauri na ki-mikakati inakaribisha!
Sihitaji michango ya pesa kwa sasa....
Asanteni sana...
Mungu ibariki JF, CHADEMA & Tanzania
 
Wadau na wapenda mabadiliko....natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la UKONGA kwa tiketi ya CHADEMA.
Michango ya mawazo, ushauri na ki-mikakati inakaribisha!
Sihitaji michango ya pesa kwa sasa....
Asanteni sana...
Mungu ibariki JF, CHADEMA & Tanzania

CHADEMA wameisha kupitisha?
 
Back
Top Bottom