Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
Kwenye jukwaa letu pendwa kila mtu amekumbana na mikasa majanga na vituko mbalimbali ambavyo haviwezi kumtoka kwenye mind yake, mi naanza na hivi:
1. Sitosahau siku najiunga jf niliambiwa na member mmoja humu kuwa eti mimi ndio mmiliki wa JF nilishangaa sana yani iweje mi mgeni ndo niwe mmiliki. Jamaa ikawa kila nikicomment ananijia kwenye comment huku akinipamba " sawaaa boss" aisee siwezi sahau lile jamaa sijui alikuwa na nia gani.
2.Sitasahau nilivyokutana na avatar moja hivi jamvini ina dada mmoja hivi wa kiarabu kipindi hiko mimi mgeni sasa mate yakawa yananidondoka nikaanza harakati za kumlia timing PM kumbe alikuwa wa kiume jamaa alivoona namsumbua sana aliniporomoshea mitusi balaa kuanzia siku hiyo alibadilisha avatar
3.Siwezi kusahau siku moja tuliongea mambo ya kibiashara na jamaa mmoja hivi humu jamvini sasa siku tumekutana tuweke sawa plan yetu daa jamaa akawa ananitazama kama haamini vile huku kapigwa na butwaa mpaka nikawa naona soo. jamaa akawa anauliza mara mbilimbili kwamba wewe ndo babumawe namjibu akawa haamini kabisa aisee tangu siku iyo nikaona kumbe wewe unaweza ukawa unapost vitu humu kuna watu wanakuzingatia na wanakujengea picha yao.
4. Sitasahau jamaa mmoja simkumbuki aliandika thread humu kuwa yeye katembea na mademu 500 kwahiyo anatafuta wa 501, aisee ile post ilinifurahisha sana kila siku ikinijia huwaga najiuliza jamaa alikuwa anawazaga nini mpaka akaposti vile.
1. Sitosahau siku najiunga jf niliambiwa na member mmoja humu kuwa eti mimi ndio mmiliki wa JF nilishangaa sana yani iweje mi mgeni ndo niwe mmiliki. Jamaa ikawa kila nikicomment ananijia kwenye comment huku akinipamba " sawaaa boss" aisee siwezi sahau lile jamaa sijui alikuwa na nia gani.
2.Sitasahau nilivyokutana na avatar moja hivi jamvini ina dada mmoja hivi wa kiarabu kipindi hiko mimi mgeni sasa mate yakawa yananidondoka nikaanza harakati za kumlia timing PM kumbe alikuwa wa kiume jamaa alivoona namsumbua sana aliniporomoshea mitusi balaa kuanzia siku hiyo alibadilisha avatar
3.Siwezi kusahau siku moja tuliongea mambo ya kibiashara na jamaa mmoja hivi humu jamvini sasa siku tumekutana tuweke sawa plan yetu daa jamaa akawa ananitazama kama haamini vile huku kapigwa na butwaa mpaka nikawa naona soo. jamaa akawa anauliza mara mbilimbili kwamba wewe ndo babumawe namjibu akawa haamini kabisa aisee tangu siku iyo nikaona kumbe wewe unaweza ukawa unapost vitu humu kuna watu wanakuzingatia na wanakujengea picha yao.
4. Sitasahau jamaa mmoja simkumbuki aliandika thread humu kuwa yeye katembea na mademu 500 kwahiyo anatafuta wa 501, aisee ile post ilinifurahisha sana kila siku ikinijia huwaga najiuliza jamaa alikuwa anawazaga nini mpaka akaposti vile.