Mwaka X bwana Jioni Mida ya Saa Moja na Nusu ivi Niko zangu kwenye harakati za apa na pale.Kidogo kojo likanibana.
Nkaona kwenda toi nilipie mia2 jau wakati kuna uchochoro nakojoa Bure. Muhuni nikazama kwenye uchochoro ili nkakojoe. Ndichi nkakutana na Wahuni wanakula Cha kitu arusha nikawapa hai fresh. Kbla ata cjatoa kikojoleo Changu polisi wakavamia wote kwenye uchochoro tuka pigwa chini ya ulinzi.
Msako ukaanza ingawa ckukutwa na kitu wakafosi kunizoa sababu ya kuwepo tu kwenye Eneo hatarishi. Wanangu nafika ndani kule kwa moto sura zote ngumu azicheki. Kila lock up wanagombania uingizwe kwenye sero yao.
Apo mm kiroho juu.Nilika ndani pale kama siku 2 ivi kwa moto kule ndani ao mbu kama wote. Ukiamka usiku unawezaa Kimbia kujikinga na mbu watu Wanavaa mifuko hii ya 500 usoni, mikono na miguu utasema mizuka.
Kwenye kulala ukichelewa unalala upande wa chooni ni full harufu tu ya choo n mbu. Maji yakikatika ukienda kubwa jiandae kugombana na masela cz ni harufu kma yote. Alo siyo pw kaeni tu uraini kwa Amani kule siyo poa.
Kuamshwa saa10 n'a Nusu kawaida muhesabiwe. Kuibiwa chakula na manyapara kawaida. Kuna Jamaa aliagiza Kuku wa3 haikufika hata mifupa.
Nkaona kwenda toi nilipie mia2 jau wakati kuna uchochoro nakojoa Bure. Muhuni nikazama kwenye uchochoro ili nkakojoe. Ndichi nkakutana na Wahuni wanakula Cha kitu arusha nikawapa hai fresh. Kbla ata cjatoa kikojoleo Changu polisi wakavamia wote kwenye uchochoro tuka pigwa chini ya ulinzi.
Msako ukaanza ingawa ckukutwa na kitu wakafosi kunizoa sababu ya kuwepo tu kwenye Eneo hatarishi. Wanangu nafika ndani kule kwa moto sura zote ngumu azicheki. Kila lock up wanagombania uingizwe kwenye sero yao.
Apo mm kiroho juu.Nilika ndani pale kama siku 2 ivi kwa moto kule ndani ao mbu kama wote. Ukiamka usiku unawezaa Kimbia kujikinga na mbu watu Wanavaa mifuko hii ya 500 usoni, mikono na miguu utasema mizuka.
Kwenye kulala ukichelewa unalala upande wa chooni ni full harufu tu ya choo n mbu. Maji yakikatika ukienda kubwa jiandae kugombana na masela cz ni harufu kma yote. Alo siyo pw kaeni tu uraini kwa Amani kule siyo poa.
Kuamshwa saa10 n'a Nusu kawaida muhesabiwe. Kuibiwa chakula na manyapara kawaida. Kuna Jamaa aliagiza Kuku wa3 haikufika hata mifupa.