HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,058
- 1,218
Kweli kabisaChizi Maarifa limejichanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilisema hiyo stori ya kutunga, vichwa maji wakajiita watetezi
ndio kama hivyo mkuu, hajatendea watu haki.....Duuh Sasa nimeelewa
acha ulimbukeniwale Wa tulioko kule telegrm tujuane
Haha,@Carleen muda mwingine wa moto,muda mwingine wa baridi. Sikunyaki sana. Unaweza kukuta hapa ukanishushia rundo la maneno magumu. Muda mwingine maneno kama unaishi jirani na YESU
😀😀Yaani ndio kwanzaaa kumekucha
Tukamchangie kule TELEGRAMDuh noma sana, endelea kushusha vitu mzee baba pia usisahau kutuma hiyo picha yamkono
Ni yeye pia kuna siku aliwahi kunitusi kwenye huu uzi kwa id hii kisha akajishtukia alipoona nimempuuza akafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni ww umetumia ID nyingine au ni msaidiz wake?
Mipango ya kimkakati inaonekana ilikuwa ni ya muda mrefu[emoji1787][emoji1787]Ndio maana alichukia sana uzi wake kuhamishwa, lengo lake lilivurugwa
Ni yy kabisa,na ukitaka kujua hii story ni ya kutunga,kuna uzi wa Msiba wa Mudy wa mchikichini,ana story tofauti ya maisha yake na ukilinganisha na hii alietoa hapa,ni msanii mzuri sanaNi yeye pia kuna siku aliwahi kunitusi kwenye huu uzi kwa id hii kisha akajishtukia alipoona nimempuuza akafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] dahNi yy kabisa,na ukitaka kujua hii story ni ya kutunga,kuna uzi wa Msiba wa Mudy wa mchikichini,ana story tofauti ya maisha yake na ukilinganisha na hii alietoa hapa,ni msanii mzuri sana
Punguza hasira kidogo basiNi yeye pia kuna siku aliwahi kunitusi kwenye huu uzi kwa id hii kisha akajishtukia alipoona nimempuuza akafuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
keshapiga watu hela [emoji2][emoji2][emoji2]..... ni yeyeeeMipango ya kimkakati inaonekana ilikuwa ni ya muda mrefu[emoji1787][emoji1787]
Thanks my only..Asante my one,tutatengezena nzuri zaid ya hii
Mm kule ni mkongwe kaka saiv tupo sehem ya 34 kama sikoseiTukamchangie kule TELEGRAM
Kule geto hakuingiza demu sema ungekua kwenye group ungeelewa zaidiKabla hajanunua nyumba mpya kibuyu alikihifadhi Wap kama sio getoni mwake? Tens chini ya uvungu!
Kwhyo si alikosea mashariti?
Unataka sehemu ya ngapi nikuletee??Kumbe ni yeye Basi waliopo telegram mmoja aweke fake ID aje atuwekee vtu huku kwa upendo kabsa