LwandaMagere
JF-Expert Member
- Mar 15, 2020
- 264
- 2,484
- Thread starter
-
- #1,901
MKASA WA PILI -Sehemu ya 31
Inaendelea.............
Kwa usiku huo kiukweli nilipata usingizi wa mang'amu ng'amu kwa ile taarifa ya mrembo Zainati maana nilikuwa nikimuhurumia sana.Asubuhi ya jumapili niliamka mapema na kuendelea na shughuli zangu kama kawaida,nilitoka kuelekea maeneo ya mjini,kuna mtu nilienda kuonana naye maana nilipanga kuanza ujenzi wa nyumba za biashara ya upangishaji.
Huyu jamaa kwasababu nilikuwa nimeongea naye kwa muda hivyo nilitaka anipatie ushauri wa namna ya kufanya,jamaa kwa kuwa alikuwa mjuzi wa ramani za nyumba aliniambia kama nataka kujenga nyumba za biashara basi maeneo ya Buhongwa yalikuwa yanafaa sana.Kiukweli ushauri wake niliuchukua na nilimwambia tutaanza na nyumba tatu ziwe katika apartment moja na ahakikishe ananipatia gharama za ujenzi na majumuisho yote.Tuliachana na jamaa ilibidi nielekee zangu nyumbani kwa mama kumsalimia,nilingia kwenye gari na kuondoka,ilipofika nida ya saa 7 mchana yule shemeji alinipigia simu nikiwa hapo kwa mama,sikuweza kuongea naye ilibidi nitoke kwanza nje ndiyo niongee naye ili asifahamu mtu yeyote hapo nyumbani.
"Hello vipi uko nyumbani?" lilikuwa swali lake mara baada tu ya kupokea simu.
Nilimwambia "nimetoka kidogo sipo nyumbani"
Aliendelea kuniuliza "Utakuwa umerudi muda gani?".
Nilimwambia kama nusu saa hivi nitakuwa nyumbani maana mtu niliyeenda kumuona sijamkuta.Basi sikutaka kupoteza muda kabisa,nilimwambia dereva tuondoke zetu.Kuna vitu nilinunua hapo mjini maana nilifahamu fika yule shemu akifika haitakuwa rahisi yeye kuondoka hivyo hayo mahitaji yangetusaidia kwa siku hiyo.Nilikuwa sipendi sana kununua vitu vikakaa tu,kwani vilikuwa vikiharibika na ukizingatia mimi sikuwa sana mlaji hapo nyumbani,chakula nilipenda sana kwenda kula kwa mama.
Baada ya saa 1 kupita toka nimeongea na shemeji nilimtumia sms nikamwambia "nishafika nyumbani".
Mara nyingi toka nimemuajiri yule dereva nilimwambia kama siku ambayo nilikuwa tu ndani sitoki basi yeye anaweza kuendelea na mambo yake ila ninapomuhitaji ahakìkishe anakuwepo.Muda si mrefu alinipigia simu akaniambia ndiyo anajiandaa kutoka kwake.Zilipita kama dakika 45 akawa amefika,nilisikia kengere ya geti ikigongwa na mlinzi alimfungulia geti.
Alipofika mlango wa kuingilia ndani aligonga nikaenda kuufungua.Kama nilivyosema hapo awali,huyu shemeji alikuwaga akivaa nguo za ajabu sana,kulingana na namna alivyokuwa na umbo zuri, kama ulikuwa mwanaume mwenye tamaa lazima udenda ungekumwagika hadharani bila kificho!.Nilimkaribisha ndani moja kwa moja akafikia kwenye friji.
Bila uwoga aliniambia "hapa ni kama kwangu lazima nijiachie shem" .
Nilimwambia "hakuna tatizo shemu wewe jiachie".
kwa namna alivyokuwa kavaa nilijisemea ya kwamba dhambi ambayo ningeenda kuifanya siku hìyo haikuwa na mfano!.Alikuja amevaa skini taiti ambayo ilipaswa avae akiwa na mumewe tena usiku,niliona kabisa ilikuwa ni makusudi ya kunitamanisha.Namna alivyokuwa amependeza kiukweli ilikuwa ni taabu tupu.Alianza kunywa wine kama kawaida na nilimwambia kuna chakula jikoni endapo angehisi njaa angeenda kuandaa ale.
Aliniambia "nimemaliza kula muda huu tu shem hata usijali".
Wakati akiwa pale sebuleni nilielekea zangu chumbani kuchukua ile dawa ambayo nilikuwa naichanganya na mafuta nikajipaka na kurudi sebuleni!,wakati huu sikutaka kupoteza muda kabisa nilimsogelea na kumshika kiuno na kumwambia kiukweli Mungu alikuwa kamtunuku zawadi ya pekee sana.
"Yaani shemu uliponigusa kiuno tayari ushanitia hamu" alisema huku akiyalegeza macho.
Nilimshika mkono nikamwambia "Njoo"
Nilimpeleka kwenye kile chumba ambacho Yusta nilimpigia bakora za kim-kakati,sikuwa na haraka nilimwambia "nakuja".
Nilienda nikaichukua ile wine yake aliyokuwa anakunywa nikampelekea mle chumbani halafu mimi nikatoka kwenda kuandaa ile dawa niliyopewa na mzee nchibaronda,nilipomaliza kuiandaa nikawa nakunywa kama chai.
Nilipomaliza nilielekea kule chumbani alipokuwa,nilipoingia ndani nilikuta nguo zipo kitandani alikuwa kaelekea bafuni kuoga.Baada ya muda kidogo alitoka bafuni akiwa ndani ya taulo,sasa kwasababu alikuwa na shepu kubwa ile taulo japo ilikuwa kubwa lakini haikufunga vizuri.Nilivuta lile taulo na kulitupa chini akabaki kama alivyozaliwa,kiukweli yule shemeji alikuwa kafunga kisawasawa na alikuwa mzuri pia.Nilianza kumtembezea bakora, mara ya kwanza akawa kama mtu mwenye dharau,labda alidhani mimi mtu wa kawaida tu ambaye aliwahi kukutana nao.Bakora za kim-kakati zilipokuwa zikimtembelea ndipo nilianza kuona akianza kuhangaika.Kwa namna ambavyo nilikuwa nina usongo naye,sikutaka kabisa kumuonea huruma hata kidogo,nilitaka nimshikishe adabu kisawa sawa,huyu shemeji nilikuwa ninausongo naye sana kwasababu nilikuwa nina lengo la kumkomoa kwa sababu ya nyodo na dharau zake.Baada ya bakora kumkolea alikuwa akitamka maneno ambayo mengine hata nilikuwa sielewi anasema nini!.
Baada ya kuwa amepumzika kitandani aliniambia "Kwanini hukunitongoza mapema shem maana kumbe hizi raha zote nilizokosa kwa muda mrefu!".
Nilimwambia kwasababu ilikuwa inaelekea saa 1 usiku aondoke maana watoto wako peke yao.
Alinijibu kwamba "siwezi ondoka leo nikaziacha hizi raha".
Nilimuuliza "watoto kule nyumbani wako na nani".
Akanijibu "wako na dada yao wa kazi hivyo haina shida!".
Itaendelea......................
Inaendelea.............
Kwa usiku huo kiukweli nilipata usingizi wa mang'amu ng'amu kwa ile taarifa ya mrembo Zainati maana nilikuwa nikimuhurumia sana.Asubuhi ya jumapili niliamka mapema na kuendelea na shughuli zangu kama kawaida,nilitoka kuelekea maeneo ya mjini,kuna mtu nilienda kuonana naye maana nilipanga kuanza ujenzi wa nyumba za biashara ya upangishaji.
Huyu jamaa kwasababu nilikuwa nimeongea naye kwa muda hivyo nilitaka anipatie ushauri wa namna ya kufanya,jamaa kwa kuwa alikuwa mjuzi wa ramani za nyumba aliniambia kama nataka kujenga nyumba za biashara basi maeneo ya Buhongwa yalikuwa yanafaa sana.Kiukweli ushauri wake niliuchukua na nilimwambia tutaanza na nyumba tatu ziwe katika apartment moja na ahakikishe ananipatia gharama za ujenzi na majumuisho yote.Tuliachana na jamaa ilibidi nielekee zangu nyumbani kwa mama kumsalimia,nilingia kwenye gari na kuondoka,ilipofika nida ya saa 7 mchana yule shemeji alinipigia simu nikiwa hapo kwa mama,sikuweza kuongea naye ilibidi nitoke kwanza nje ndiyo niongee naye ili asifahamu mtu yeyote hapo nyumbani.
"Hello vipi uko nyumbani?" lilikuwa swali lake mara baada tu ya kupokea simu.
Nilimwambia "nimetoka kidogo sipo nyumbani"
Aliendelea kuniuliza "Utakuwa umerudi muda gani?".
Nilimwambia kama nusu saa hivi nitakuwa nyumbani maana mtu niliyeenda kumuona sijamkuta.Basi sikutaka kupoteza muda kabisa,nilimwambia dereva tuondoke zetu.Kuna vitu nilinunua hapo mjini maana nilifahamu fika yule shemu akifika haitakuwa rahisi yeye kuondoka hivyo hayo mahitaji yangetusaidia kwa siku hiyo.Nilikuwa sipendi sana kununua vitu vikakaa tu,kwani vilikuwa vikiharibika na ukizingatia mimi sikuwa sana mlaji hapo nyumbani,chakula nilipenda sana kwenda kula kwa mama.
Baada ya saa 1 kupita toka nimeongea na shemeji nilimtumia sms nikamwambia "nishafika nyumbani".
Mara nyingi toka nimemuajiri yule dereva nilimwambia kama siku ambayo nilikuwa tu ndani sitoki basi yeye anaweza kuendelea na mambo yake ila ninapomuhitaji ahakìkishe anakuwepo.Muda si mrefu alinipigia simu akaniambia ndiyo anajiandaa kutoka kwake.Zilipita kama dakika 45 akawa amefika,nilisikia kengere ya geti ikigongwa na mlinzi alimfungulia geti.
Alipofika mlango wa kuingilia ndani aligonga nikaenda kuufungua.Kama nilivyosema hapo awali,huyu shemeji alikuwaga akivaa nguo za ajabu sana,kulingana na namna alivyokuwa na umbo zuri, kama ulikuwa mwanaume mwenye tamaa lazima udenda ungekumwagika hadharani bila kificho!.Nilimkaribisha ndani moja kwa moja akafikia kwenye friji.
Bila uwoga aliniambia "hapa ni kama kwangu lazima nijiachie shem" .
Nilimwambia "hakuna tatizo shemu wewe jiachie".
kwa namna alivyokuwa kavaa nilijisemea ya kwamba dhambi ambayo ningeenda kuifanya siku hìyo haikuwa na mfano!.Alikuja amevaa skini taiti ambayo ilipaswa avae akiwa na mumewe tena usiku,niliona kabisa ilikuwa ni makusudi ya kunitamanisha.Namna alivyokuwa amependeza kiukweli ilikuwa ni taabu tupu.Alianza kunywa wine kama kawaida na nilimwambia kuna chakula jikoni endapo angehisi njaa angeenda kuandaa ale.
Aliniambia "nimemaliza kula muda huu tu shem hata usijali".
Wakati akiwa pale sebuleni nilielekea zangu chumbani kuchukua ile dawa ambayo nilikuwa naichanganya na mafuta nikajipaka na kurudi sebuleni!,wakati huu sikutaka kupoteza muda kabisa nilimsogelea na kumshika kiuno na kumwambia kiukweli Mungu alikuwa kamtunuku zawadi ya pekee sana.
"Yaani shemu uliponigusa kiuno tayari ushanitia hamu" alisema huku akiyalegeza macho.
Nilimshika mkono nikamwambia "Njoo"
Nilimpeleka kwenye kile chumba ambacho Yusta nilimpigia bakora za kim-kakati,sikuwa na haraka nilimwambia "nakuja".
Nilienda nikaichukua ile wine yake aliyokuwa anakunywa nikampelekea mle chumbani halafu mimi nikatoka kwenda kuandaa ile dawa niliyopewa na mzee nchibaronda,nilipomaliza kuiandaa nikawa nakunywa kama chai.
Nilipomaliza nilielekea kule chumbani alipokuwa,nilipoingia ndani nilikuta nguo zipo kitandani alikuwa kaelekea bafuni kuoga.Baada ya muda kidogo alitoka bafuni akiwa ndani ya taulo,sasa kwasababu alikuwa na shepu kubwa ile taulo japo ilikuwa kubwa lakini haikufunga vizuri.Nilivuta lile taulo na kulitupa chini akabaki kama alivyozaliwa,kiukweli yule shemeji alikuwa kafunga kisawasawa na alikuwa mzuri pia.Nilianza kumtembezea bakora, mara ya kwanza akawa kama mtu mwenye dharau,labda alidhani mimi mtu wa kawaida tu ambaye aliwahi kukutana nao.Bakora za kim-kakati zilipokuwa zikimtembelea ndipo nilianza kuona akianza kuhangaika.Kwa namna ambavyo nilikuwa nina usongo naye,sikutaka kabisa kumuonea huruma hata kidogo,nilitaka nimshikishe adabu kisawa sawa,huyu shemeji nilikuwa ninausongo naye sana kwasababu nilikuwa nina lengo la kumkomoa kwa sababu ya nyodo na dharau zake.Baada ya bakora kumkolea alikuwa akitamka maneno ambayo mengine hata nilikuwa sielewi anasema nini!.
Baada ya kuwa amepumzika kitandani aliniambia "Kwanini hukunitongoza mapema shem maana kumbe hizi raha zote nilizokosa kwa muda mrefu!".
Nilimwambia kwasababu ilikuwa inaelekea saa 1 usiku aondoke maana watoto wako peke yao.
Alinijibu kwamba "siwezi ondoka leo nikaziacha hizi raha".
Nilimuuliza "watoto kule nyumbani wako na nani".
Akanijibu "wako na dada yao wa kazi hivyo haina shida!".
Itaendelea......................