Mikasa ya EX wangu

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Aisee uyu mwamba ni hatari sikuizi haishiwi vituko
Week kadhaa uko nyuma nilipost umu aliniomba pesa sasa aumekuwa na muendelezo wa vibweka Sana

"Mfano number yangu anayo na Huwa ananipigia then siku moja asubhi akanipigia mchana nakutana na rafiki yangu ananiambia flani anataka number yako😁🙌"?

Nyingine kubwa Jana usiku anitumia meseji kuwa anaumwa sasa kuumwa ni suala ya kumwambia ex-wako?

Oneni cheni apo

Anyway uyu mtu wangu huenda kunakitu hakipo sawa
 

Attachments

  • screen-20241017-125548.mp4
    553.7 KB
tuma hela bhanaaa muda mchache mambo mingi
 
sio ajabu hapo c anataka umbebishe na umtumie hela ya juisi sa unashangaa nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…