Mikasa ya kula bata mpk unasahau kulala!!

lun

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
667
Reaction score
743
Kwa wale wlio wahi kukesha au kuchelewa kulala tupeana mastory.

Kuna siku nilienda Moro aisee nikakutana school mate ile mastory na kuhama vijiwe nikajikuta saa 11 asubuhi hii hapa nililala kwenye bus nastuka nipo ubungo

Tupia mkasa wako hapa!
 
hehehehe . Sina mchango wowote nikaona nisipite bila kutia neno
 
Kwa wale wlio wahi kukesha au kuchelewa kulala tupeana mastory.

Kuna siku nilienda Moro aisee nikakutana school mate ile mastory na kuhama vijiwe nikajikuta saa 11 asubuhi hii hapa nililala kwenye bus nastuka nipo ubungo

Tupia mkasa wako hapa!
Okay
 
Hiyo mbona kawaida sana

Watu walipiga urabu usiku mzima mpaka saa 12 halafu saa mbili anaingia kwenye paper

Kitwanga alitafuna urabu mpaka saa moja asubuhi halafu saa mbili akaingia bungeni.
 
Nakumbuka nlishawahi piga ukitwanga hadi saa 10 na asubh nlikuwa na pepa..... Aisee nlikosa pepa kufanya nikapata tabu sana kumuelimisha lecturer anipe pepa special
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…