Mikasa ya Maisha: Je ni kawaida kwa baba mtu kufanya wapenzi na mke wa mwanaye?

Mikasa ya Maisha: Je ni kawaida kwa baba mtu kufanya wapenzi na mke wa mwanaye?

Msafiri Kasian

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
2,133
Reaction score
661
Ni katika kipindi cha MIKASA YA MAISHA NA RADIO FIVE siku ya alhamisi tarehe 16 febr.2012 ambapo palijadiliwa mkasa wa binti mmoja mkazi wa Moshi(alitambulishwa kwa jina la Yasinta) ambaye alitokea kumpenda kijana mmoja alijulikana kwa jina la Abdala mwenyeji wa Tanga.Vijana hawa walipendana sana na hatimaye kuoana wakaelekea Tanga.Kijana alipata kazi dar akamwacha mkewe Tanga kwa wazazi wake.Cha ajabu ni kwamba baba mtu akamtaka binti yake kimapenzi,akamlazimisha mpaka akamnanihii akapata mimba,binti alichunguza na kufahamu huwa kile kitendo kilikuwa cha kawaida katika familia ile,kwa sababu yule mzee alisha wananihii wake wenza.Sasa nauliza hizi ni tamaduni za kabila gani huko Tanga?
 
wachaga hawana tabia hiyo bana labda wasambaa pia bint arudi kwao tutampokea
 
Lakini hii tabia sijui ni tamaduni ya kabila gani,mambo ya ajabu haya!
 
Huyo mumewe alikuwa kabila gani?. Kwa mtizamo wangu hakuna kabila (TZ) ambalo lina utamaduni wa mzazi wa kiume kushiriki ngono na wake za wanae, hiyo ni tabia 2 ya huyo baba mkwe wake.

Lakini na huyo mwanawake aliua huko alikotoka mpaka alazimishwe kufanya ngono na ba mkwe wake? au alimzimikia mkwewe?
Mi nafahamu mwanamke akiwa hataki kufanya mapenzi na mwanaume hata afanye nini hatafanikiwa labda ambake!!!.

Hivyo, labda angesema alikuwa anaukwasi na kwa kuwa mumewe alikuwa mbali akaamua kukata kiu na mkwewe.
 
hako kazee kakware tu n makofi katatulia tu. Naye huyo junk ameanzaje kuacha mke ye akaenda kazin! stupid
 
ndo matatizo ya kuacha wake vijijini...
Unafikiri mihemko yake anaituliza wapi?

Back to topic
hakuna kabila lenye mila hiyo, huo ni uzinifu tu wa wahusika
 
mti ukikosa maji hunyauka, baba mtu kalea binti na kumwagilia bustani kumlindia mwanae
 
Huyo mumewe alikuwa kabila gani?. Kwa mtizamo wangu hakuna kabila (TZ) ambalo lina utamaduni wa mzazi wa kiume kushiriki ngono na wake za wanae, hiyo ni tabia 2 ya huyo baba mkwe wake.

Lakini na huyo mwanawake aliua huko alikotoka mpaka alazimishwe kufanya ngono na ba mkwe wake? au alimzimikia mkwewe?
Mi nafahamu mwanamke akiwa hataki kufanya mapenzi na mwanaume hata afanye nini hatafanikiwa labda ambake!!!.

Hivyo, labda angesema alikuwa anaukwasi na kwa kuwa mumewe alikuwa mbali akaamua kukata kiu na mkwewe.

hii haipo Tanzani, sijui lakini mm pia kwetu Muheza ~Tanga ila sijawahi kusikia au kuona huu utamaduni.
Huo ni ushenzi wa baba mkwe wake tu.
 
hako kazee kakware tu n makofi katatulia tu. Naye huyo junk ameanzaje kuacha mke ye akaenda kazin! stupid

Mi mwenyewe nimeshangaa,anadai kuwa hata alipomwambia mumewe alichofanyiwa na baba mkwe wake,mumewe aliona ni kitu cha kawaida kabisa na akamhakikishia kuwa ataendelea kumpenda tena sana,alifurahi pia kwa kuwa alipata mtoto ambaye ni damu ya familia yao.
 
mi mwenyewe nimeshangaa,anadai kuwa hata alipomwambia mumewe alichofanyiwa na baba mkwe wake,mumewe aliona ni kitu cha kawaida kabisa na akamhakikishia kuwa ataendelea kumpenda tena sana,alifurahi pia kwa kuwa alipata mtoto ambaye ni damu ya familia yao.

sio kweli!!!

 
hapo cjui,haya ninayoandika ndio aliyosema yule dada mwenyewe kwenye mkasa wake!
 
Ni katika kipindi cha MIKASA YA MAISHA NA RADIO FIVE siku ya alhamisi tarehe 16 febr.2012 ambapo palijadiliwa mkasa wa binti mmoja mkazi wa Moshi(alitambulishwa kwa jina la Yasinta) ambaye alitokea kumpenda kijana mmoja alijulikana kwa jina la Abdala mwenyeji wa Tanga.Vijana hawa walipendana sana na hatimaye kuoana wakaelekea Tanga.Kijana alipata kazi dar akamwacha mkewe Tanga kwa wazazi wake.Cha ajabu ni kwamba baba mtu akamtaka binti yake kimapenzi,akamlazimisha mpaka akamnanihii akapata mimba,binti alichunguza na kufahamu huwa kile kitendo kilikuwa cha kawaida katika familia ile,kwa sababu yule mzee alisha wananihii wake wenza.Sasa nauliza hizi ni tamaduni za kabila gani huko Tanga?
lipo kabila(jina nalihifadhi) lina utamaduni huo...kama umeoa na siku ukakuta mkuki umesimikwa kwenye mlango wa kibanda chako basi ujue baba/kaka yako nk anamtafuna mke wako...hii kitu ni acceptable kabisa kwenye hilo kabila...!
 
Mi mwenyewe nimeshangaa,anadai kuwa hata alipomwambia mumewe alichofanyiwa na baba mkwe wake,mumewe aliona ni kitu cha kawaida kabisa na akamhakikishia kuwa ataendelea kumpenda tena sana,alifurahi pia kwa kuwa alipata mtoto ambaye ni damu ya familia yao.


Hii movii ya kibongo!
 
kulazimisha ni kubaka mana yake alibakwa sasa akamshitaki huyo mtu kama ni mawazo ni hayo vinginevyo amependa kupigwa mti na huyo mzee huo ni ****** wake kama alimlazimisha kwanini hasipiga kele?????
 
Lakini hii tabia sijui ni tamaduni ya kabila gani,mambo ya ajabu haya!

Kabila lao. Na kama hujui majina yao, twende kazi:
Shelukindo
Shekiondo
Shemtoi
Shebarua
Shekilasa
SHETANI
Shekudeku
Ni she she she kwenda mbele, ila ukoo unaanzia kwa Shetani.

Lakini tuwe makini pia, inawezekana walikuwa wanataniana. Wachaga na Wasambaa ni watani wa jadi.
 
kulazimisha ni kubaka mana yake alibakwa sasa akamshitaki huyo mtu kama ni mawazo ni hayo vinginevyo amependa kupigwa mti na huyo mzee huo ni ****** wake kama alimlazimisha kwanini hasipiga kele?????

Labda ni yule Mapoazi wa JF. Hata juzi alikuta uchafu kwenye FANTA, badala ya kupeleka TFDA au TBS akaja kupiga kelele JF. Mtu wa namna hiyo akibakwa haendi polisi, anaenda radioni kusononeka.
 
sidhani kama kuna mila na tamadun za namna hiyo ... huo ni ukwale wa mzee tu
 
Mwenyewe nilisikiaga nikawauliza wenyewe wanasema zamani sana hiyo mila sasa haipo
lipo kabila(jina nalihifadhi) lina utamaduni huo...kama umeoa na siku ukakuta mkuki umesimikwa kwenye mlango wa kibanda chako basi ujue baba/kaka yako nk anamtafuna mke wako...hii kitu ni acceptable kabisa kwenye hilo kabila...!
 
Back
Top Bottom