Mikataba na DP World: Mengi mmeyasema, hili vipi?

Mikataba na DP World: Mengi mmeyasema, hili vipi?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Chimbuko la mikataba mitatu iliyosainiwa jana ni mkataba-tata kati ya Tanzania na DP World. Mkataba huu ulipangwa kuchakatwa; kujadiliwa na kusainiwa sirini. Ulipovujishwa na 'mzalendo', ukaibua mjadala mkali. Wengi waliupinga na kuupiga.

Serikali ikaiteka hoja kwa kudai kuwa inaruhusu maoni ya wananchi. Mbona waliuficha mkataba kama walitaka maoni ya wananchi, in the first place? Bila yule 'mzalendo' kutoka ndani ya mfumo kuuanika mkataba ule maoni ya wananchi wangeyapataje? Hadi hapo, imani ya wananchi kwa serikali ilitetereka.

Jana halikuzungumzwa. Jambo la utatuzi la migogoro. Kwenye mikataba ya jana, migogoro itatatuliwa wapi na kwa kutumia sheria zipi? Mamlaka ipi au zipi zitahusika kwenye utatuzi huo wa migogoro? Jambo hili halikugusiwa kabisa jana. Ni muhimu mliseme pia.

Kama maoni ya wananchi yamezingatiwa kwenye mikataba ya jana, tuonesheni hiyo mikataba husika!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
 
Wewe endelea kutumiwa kama kondom ya nyeto, huku anaekutumia tayari ameshaitengenezea mazingira mazuri ya kuishi familia yake huko dunia ya kwanza.
 

Attachments

  • Screenshot_20231022-135457.png
    Screenshot_20231022-135457.png
    25.3 KB · Views: 5
Chimbuko la mikataba mitatu iliyosainiwa jana ni mkataba-tata kati ya Tanzania na DP World. Mkataba huu ulipangwa kuchakatwa; kujadiliwa na kusainiwa sirini. Ulipovujishwa na 'mzalendo', ukaibua mjadala mkali. Wengi waliupinga na kuupiga.
Mkuu huo ulikuwa utapeli wakijifariki kwamaba tumewaweza wakosoaji. Mkataba wa IGA ambao haujatamkwa kufutwa na kurekebishwa hakuna kitakachobadilisha athari hasi huko mbele mtajuta na ndimi za wanasiasa
 
Hakika kumbe nyuso za kukosa furaha kwenye hafla hazikuwa za kukosa juisi !
 
Alichoongea jana mama wa taifa kujaribu kuonyesha kuwa mwafaka umefikiwa kwenye huu mktaba ni siasa tu, huu mkataba bado una shida, unaleta mikataba ya utekelezaji wakati IGA ya hovyo inayoilinda hiyo mikataba ya utekelezaji bado ipo pale pale ni sawa na kupigwa changa la macho.​
 
Chimbuko la mikataba mitatu iliyosainiwa jana ni mkataba-tata kati ya Tanzania na DP World. Mkataba huu ulipangwa kuchakatwa; kujadiliwa na kusainiwa sirini. Ulipovujishwa na 'mzalendo', ukaibua mjadala

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mpwapwa, Dodoma)
You are very correct! Mwenye akili hawezi kushabikia upuuzi wa jana!
 
Back
Top Bottom