Mikataba ya Kagoma je ina utata? Mwanasheria tujuze

Mikataba ya Kagoma je ina utata? Mwanasheria tujuze

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Tusichoshane, moja Kwa moja kwenye mada.

Huyo mwanasheria aliyeonyesha MIKATABA ya Kagoma kuna maswali hapa atusaidie, inaonekana HAJUI kuwa HAJUI! Inawezekana huyu mtu ni aina ya wale wasomi darasani katika mitihani walikuwa ni wazuri lakini mpe Kazi NI sifuri kabisa 0%. Theory 120% sasa njoo ktk Practical ni 0%!

Atusaidie kujibu:
Mosi; Mkataba ulikuwa ni mkataba Kwa ajili ya nini?

Pili; Je, huo mkataba ulikamilika au bado haujakamilika?

Tatu; Na Kama ulikamilika, ulitakiwa upelekwe wapi yaani uwasilishwe wapi?

Nne; Na kama ulitakiwa baada ya kukamilika kuna mahali uwasilishwe, je, kuna deadline ya uwasilishwaji? Au ni Kama mkataba wa mauzo ya mashamba ukimaliza unaweka kabatini au sandukuni unasubiri Hadi pakitokea mgogoro ndio unautoa.

NB: Suala la usajili dirisha lilishafungwa mwezi uliopita.

Swali:
Wewe mwanasheria ulikuwa hujui kuhusu muda wa usajili?

Na je, Kama ulikuwa kweli serious na hili suala Kwa nini hukuweka pingamizi kabla ya dirisha kufungwa?

Soma Pia: Mwanasheria wa Yanga: Mchezaji Yusuph Kagoma alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga

Je, wewe unaona ni Sawa mapambano hayo badala ukapambane na hao wahusika, wewe unatuletea kelele mtaani! Kwani Sisi ata tukisikia tutasaidia nini? Ebu practise hayo ya mahakamani uyaelimishe katika jamii.

Mwanasheria ni mtu Kioo ktk jamii kuhusu Sheria, Nina maana unatupa funzo kwamba Kama kuna kitu labda sijaridhika nacho hata nikienda mahakamani, inabidi nipite tena mitaani na ktk vyombo vya habari kutangaza, hii ni Sawa? Hivi ndivyo mnavyofanya ktk suala hili.

Unaonyesha mkataba Umesainiwa na Kijana, Kwa iyo ulikuwa hujui wapi pa kuupeleka ukasajiliwe? Au ulifikiri huo ni mkataba wa kuuziana shamba umekamilika ukautunza kabatini, Hadi Simba wanakamilisha mkataba kuusajili, wewe sasa unaleta Nongwa.
 
Yanga anapaswa kupambana na SFG na suala lakuipangia kamati kitu cha kufanya yule mwanasheria akapimwe mkojo.
 
Tusichoshane, moja Kwa moja kwenye mada.

Huyo mwanasheria aliyeonyesha MIKATABA ya Kagoma kuna maswali hapa atusaidie, inaonekana HAJUI kuwa HAJUI! Inawezekana huyu mtu ni aina ya wale wasomi darasani katika mitihani walikuwa ni wazuri lakini mpe Kazi NI sifuri kabisa 0%. Theory 120% sasa njoo ktk Practical ni 0%!

Atusaidie kujibu:
Mosi; Mkataba ulikuwa ni mkataba Kwa ajili ya nini?

Pili; Je, huo mkataba ulikamilika au bado haujakamilika?

Tatu; Na Kama ulikamilika, ulitakiwa upelekwe wapi yaani uwasilishwe wapi?

Nne; Na kama ulitakiwa baada ya kukamilika kuna mahali uwasilishwe, je, kuna deadline ya uwasilishwaji? Au ni Kama mkataba wa mauzo ya mashamba ukimaliza unaweka kabatini au sandukuni unasubiri Hadi pakitokea mgogoro ndio unautoa.

NB: Suala la usajili dirisha lilishafungwa mwezi uliopita.

Swali:
Wewe mwanasheria ulikuwa hujui kuhusu muda wa usajili?

Na je, Kama ulikuwa kweli serious na hili suala Kwa nini hukuweka pingamizi kabla ya dirisha kufungwa?

Je, wewe unaona ni Sawa mapambano hayo badala ukapambane na hao wahusika, wewe unatuletea kelele mtaani! Kwani Sisi ata tukisikia tutasaidia nini? Ebu practise hayo ya mahakamani uyaelimishe katika jamii.

Mwanasheria ni mtu Kioo ktk jamii kuhusu Sheria, Nina maana unatupa funzo kwamba Kama kuna kitu labda sijaridhika nacho hata nikienda mahakamani, inabidi nipite tena mitaani na ktk vyombo vya habari kutangaza, hii ni Sawa? Hivi ndivyo mnavyofanya ktk suala hili.

Unaonyesha mkataba Umesainiwa na Kijana, Kwa iyo ulikuwa hujui wapi pa kuupeleka ukasajiliwe? Au ulifikiri huo ni mkataba wa kuuziana shamba umekamilika ukautunza kabatini, Hadi Simba wanakamilisha mkataba kuusajili, wewe sasa unaleta Nongwa.
januari tunamchukua kocha we makolo aje kubeba mipira mazoezini
 
Hayo maswali ni mepesi sana kwa mwanafunzi wa law school, lakini kwa huyo poyoyo wa kushindwa kesi zote tangu aanze kazi hawezi jibu hata moja hapo. Atabaki tuu kukuambia utopolo hatuchezewi.
 
Hayo maswali ni mepesi sana kwa mwanafunzi wa law school, lakini kwa huyo poyoyo wa kushindwa kesi zote tangu aanze kazi hawezi jibu hata moja hapo. Atabaki tuu kukuambia utopolo hatuchezewi.
Kamtumieni sasa si mchezaji wenu halali ndio mtajua makalio ya kuku yako upande Gani, mihemko yenu itawaponza pakubwa!
 
Mwanasheria asiyejua hata seller ni nani na buyer ni nani!!!
Kwenye huo so called mkataba Yanga amewekwa kama seller na Singida Fountain Gate amewekwa kama buyer.
Kweli unaweka mkataba kama huo hadharani?
Hapo sasa eti kuna mwanasheri😂 Kweli huko ata hao wawili wanaosemwa Wana Akili ni uongo, hakuna ata mmoja mwenye akili huko
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
uko hivi yanga wants to send a statement. they have nothing on Kagoma. Just kuchangamsha genge
 
Mwanasheria asiyejua hata seller ni nani na buyer ni nani!!!
Kwenye huo so called mkataba Yanga amewekwa kama seller na Singida Fountain Gate amewekwa kama buyer.
Kweli unaweka mkataba kama huo hadharani?
超级截屏_20240912_170212.png
 
Yanga kichwa maji walimsajili kagoma kipindi ambacho walifungiwa kusajili na CAF. Simba aliona ilo pungufu akajilipua kumsajili kagoma kwa maana fupi mkataba w Yanga ni batili kwa nn usajili wakati umefungiwa na CAF? Ndio maana kagoma kapewa leseni na TFF ya kufanya kazi simba.zingatia tarehe za usajili w kagoma na kifungo cha YANGA toka CAF.
All the best
 
Yanga kichwa maji walimsajili kagoma kipi indi ambacho walifungiwa kusajili na CAF. Simba aliona ilo pungufu akajilipua kumsajili kagoma kwa maana fupi mkataba w Yanga ni batili kwa nn usajili wakati umefungiwa na CAF? Ndio maana kagoma kapewa leseni na TFF ya kufanya kazi simba.zingatia tarehe za usajili w kagoma na kifungo cha YANGA toka CAF.
All the best
Hii hoja eti utopolo hawaioni.
 
Back
Top Bottom