Wakuu naomba kujua sheria za uwekezaji wa elimu kutoka nje inasemaje kuhusu wafanyakazi wa nje wanatakiwa kuwa wangapi
Hapa nalenga mtu amekuja kutoka china kufungua chuo kikuu hapa nchini je malecturer wa china hawatakiwi kuzidi wangapi?
Wakuu naomba kujua sheria za uwekezaji wa elimu kutoka nje inasemaje kuhusu wafanyakazi wa nje wanatakiwa kuwa wangapi
Hapa nalenga mtu amekuja kutoka china kufungua chuo kikuu hapa nchini je malecturer wa china hawatakiwi kuzidi wangapi?