Mikato mikali ya saa

Mikato mikali ya saa

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Kama mwanaume mtanashati kuna vitu vitatu ambavyo ni foundation ya kupendeza "
1. KIATU
2. MKANDA
3. SAA
Hi vitu mara nyingi kwa hulka za kiume ni mara chache kumkuta mwanaume ana mikanda zaidi ya 5,mimi huwa ninayo mi nne miwili ya nguo za aina ya kiofisi,miwili ya majinsi na pensi baas,na saa huwa ninazo mbili tu yakiofisi na kimajinsi .penye viatu ni papana naomba niparuke,nikimbilie saa kuna saa zinafiti mazingira yote mfano michael kors golden,ila sasa kuna mkato mwingine nimeuona kwa jamaa angu nimeupenda unaitwa NIXON GOLDEN ase watanashati wenzangu naomba muutathmini nimeugoogle nauattach ,ntafurahi mkinipa tathmini zenu pia.maana nataka nunua saa bajeti yangu Tshs 450,000.00
 

Attachments

  • nixon.jpg
    nixon.jpg
    81.2 KB · Views: 120
Unataka tathimini ya nini? wewe nunua saa vaa kulingana na unene wa pochi yako
 
Michael Korse
Nilimuona jamaa mmoja wa CRDB kule kahama amepiga kitu cha ukweli lool!
 
Unataka tathimini ya nini? wewe nunua saa vaa kulingana na unene wa pochi yako
Kaka haya ni mambo ya interest wanao yapenda wasingechangia hivyo utakuwa mkata mkaa nenda eneo la wajasiriamali utakutana na wenzio
 
Kama mwanaume mtanashati kuna vitu vitatu ambavyo ni foundation ya kupendeza "
1. KIATU
2. MKANDA
3. SAA
Hi vitu mara nyingi kwa hulka za kiume ni mara chache kumkuta mwanaume ana mikanda zaidi ya 5,mimi huwa ninayo mi nne miwili ya nguo za aina ya kiofisi,miwili ya majinsi na pensi baas,na saa huwa ninazo mbili tu yakiofisi na kimajinsi .penye viatu ni papana naomba niparuke,nikimbilie saa kuna saa zinafiti mazingira yote mfano michael kors golden,ila sasa kuna mkato mwingine nimeuona kwa jamaa angu nimeupenda unaitwa NIXON GOLDEN ase watanashati wenzangu naomba muutathmini nimeugoogle nauattach ,ntafurahi mkinipa tathmini zenu pia.maana nataka nunua saa bajeti yangu Tshs 450,000.00
Mkuu budget ya saa tu umeandaa 450,000.00 , [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Mwenzio ata nikivuta cm ya laki tatu siku hiyo ni beef usiku kucha na wife!!
Kweli duniani wengine tupo ili mradi tu.
 
Kaka haya ni mambo ya interest wanao yapenda wasingechangia hivyo utakuwa mkata mkaa nenda eneo la wajasiriamali utakutana na wenzio
Sawa mkuu ngoja mimi niendelee kukata mkaa karibu pia uniungishe gunia 30,000 tu
 
afu mkwanja wake si wa kibongo nimecheki ebay zinaenda hadi usd 200,000
Yah sisi watu wa Africa tunavaa zile copy za China ambazo zinakuwa kama yenyewe but ni hela ndogo utakuta 50 USD dollar mtu akija nazo Tz antuuzia 300,000
 
Back
Top Bottom