johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
Nadhani wote tunamjua jamaa
Mziki wake ulikuwa miaka ya 2000 lakin ukiisikiliza Leo anaweza wafunika hata Hawa mcees wa sasa. Najiuliza kwann jamaa aliamua kuacha kuimba? Mbna alikuwa na kipaji kikubwa tu?
Yupo wap sasa hv ?
Mziki wake ulikuwa miaka ya 2000 lakin ukiisikiliza Leo anaweza wafunika hata Hawa mcees wa sasa. Najiuliza kwann jamaa aliamua kuacha kuimba? Mbna alikuwa na kipaji kikubwa tu?
Yupo wap sasa hv ?